Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kane hataki kuongea na Kocha mpya wa Spurs kwa sasa
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
June 2, 2023
Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano
June 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Kane hataki kuongea na Kocha mpya wa Spurs kwa sasa
Sports

Kane hataki kuongea na Kocha mpya wa Spurs kwa sasa

July 6, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Nahodha wa England na club ya Tottenham Hotspurs ya England Harry Kane ameweka wazi msimamo wake kuwa hajafanya mazungumzo na hataki kufanya mazungumzo kwa sasa na Kocha npya wa Tottenham Hotspurs Nuno Espirito.

Kane ameyasema hayo kwa nia njema ya kuelekeza nguvu zake katika kuisaidia England kusaka Ubingwa wa Euro 2020, Kane anahusishwa kuondoka na Spurs na idandaiwa kuwa Kocha Nuno kampigia kumshawishi abakie Spurs.

“Niko na England kwa sasa na shabaha yangu iko hapa (Euro2020), natumai tumebakiza wiki moja michuano kumalizika, (Nuno) ni kocha mzuri alifanya kazi kubwa akiwa na Wolves na kuifanya iwe na mchezo mzuri naimani  tutawasiliana baada ya mashindano kumalizika”>>>> Kane

Nuno ametangazwa wiki iliyopita kama Kocha mpya wa Tottenham na sasa intajwa kuwa na kazi ya kumshawishi Harry Kane asiondoke Spurs, Kane anahusishwa kuwa mbioni kujiunga na Man City.

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA July 6, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Picha: Hassani amvisha pete mpenzi wake uwanjani
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo July 6, 2021
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: DC Halima Bulembo aungana na wakuu wa Idara, ‘Kutekeleza wajibu wao katika Utumishi’
Top Stories June 2, 2023
Upinzani unashinikiza mageuzi mapya ya uchaguzi
Top Stories June 2, 2023
Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.
Top Stories June 2, 2023
Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest
Sports June 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mlipuko wa ugonjwa wa Marburg umekwisha rasmi Tanzania.

June 2, 2023
Top Stories

Serikali ya Congo na mahakama ya ICC zakubaliana kuimarisha ushirikiano

June 2, 2023
Top Stories

Amnesty yaonya Iran dhidi ya Kunyonga kwa Kesi zinazohusiana na madawa ya kulevya

June 2, 2023
Top Stories

Elon Musk kwa mara nyingine tena ndiye mtu tajiri zaidi duniani

June 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?