Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kanisa la Katoliki lakosoa Uchaguzi nchini Burundi
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kanisa la Katoliki lakosoa Uchaguzi nchini Burundi
Top Stories

Kanisa la Katoliki lakosoa Uchaguzi nchini Burundi

May 27, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Kanisa Katoliki nchini Burundi limesema limeshuhudia mapungufu mengi wakati wa uchaguzi wa Urais ambayo yanaleta maswali kuhusu matokeo ambayo yametoa ushindi kwa mgombea wa Chama tawala na Chama chake kwa ujumla.

Baraza la Maaskofu Burundi limesema waangalizi waliowekwa katika kila kituo nchini humo walishuhudia masanduku ya kura yakifunguliwa, Maafisa kufanya unyanyasaji na kuwatisha wapiga kura, na Watu kupiga kura katika majina ya watu waliofariki na wakimbizi.

Mkuu wa Baraza la Maaskofu Burundi Askofu Joachim Ntahondereye, amesema zoezi la kuhesabu kura kwenye uchaguzi wa Urais Nchini humo lilifanyika kwa siri na Watu walioidhinishwa waliingia na kutoka kutoka katika vyumba vya kuhesabu kura.

Hii imeandikwa na Idhaa ya Kiswahili

ULIIKOSA HII YA SHEKH KIPOZEO AFUNGUKA ‘MWEPESI WA ZINAA NI MWANAMKE, MWEPESI WA KUIBA NI MWANAUME’

 

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: BURUNDI, Corona
Edwin TZA May 27, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO:Shekh Kipozeo afunguka ‘Mwepesi wa zinaa ni Mwanamke, Mwepesi wa kuiba ni Mwanaume’
Next Article PICHA: Azam FC na Simba SC zote zaanza mazoezi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?