Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amesema wao CCM wanahitaji Katiba mpya bora kuliko Mtu yeyote ndio mana wamempa dhamana Mwenyekiti wao ambaye pia ni Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuanzisha mchakato wa mapitio ya Katiba ili kujua iandikweje na iweje?.
Katibu Mkuu CCM acharuka kuhusu katiba mpya, adai wao wanaitaka kuliko Chadema
Leave a comment
Leave a comment