Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Katibu tawala msaidizi mkoa wa Morogoro Herman Tesha amewataka viongozi wanaohusika na mfumo mshitiri wa vifaa tiba, dawa na vitendanishi katika halmashauri za Wilaya kuhakikisha wanasimamia vema mnyororo mzima wa uagizaji hadi kumfikia mgonjwa na hivyo kudhibiti upotevu wa dawa.

Akifungua mafunzo ya Mfumo mpya utakaokua unafanyika kwa njia ya kielecktroniki kwa Maafisa wa Halmashauri tisa za Mkoa huu, Tesha amesema kumekuwepo na malalamiko mengi ya Ukosefu wa Dawa kwa Wagonjwa.

Tesha anasema licha ya Serikali kuleta dawa kwenye Vituo vya Afya Zahanati na hospitali bado kumekuwa na changamoto ya upatikanaji huduma za matibabu hivyo lazima Maafisa wote washiriki katika upokeaji na utoaji dawa.

.

“Malalamiko ya ukosefu wa dawa yamekua mengi Kwa Wagonjwa hivyo serikali inatoa dawa Lakini zimekua zikitumika kinyume na Matumizi yaliyopangwa Hilo Jambo lazima tulikomeshe”

Kwa upande wake Dkt Abilah Njopeka ni muwezeshaji wa kitaifa na FIONA CHILUNDA ni mshauri mwandamizi wa mfumo huo kupitia mradi wa kuimarisha afya wa HPSS ambao ndio wafadhili wa mfumo huo wamesema mfumo huo mpya utasaidia Kuthibiti Changamoto hiyo.

Nao baadhi ya Wananchi mkoani Morogoro wameishukuru serikali kwa kutafuta Njia za Kuthibiti mianya ya upotevu dawa hivyo wanaamini huduma itaimarika sehemu za kutolea huduma za afya

“Unaenda hospitali unaambiwa dawa amna unaelekezwa ukanunue Duka fulani hii inatupa Mashaka naipongeza Serikali kwa uamuzi huu utasaida”

.

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

Edwin TZA March 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Next Article Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?