Watanzania wamejitokeza kuwapokea manusura watatu wa ajali ya basi la wanafunzi wa Shule ya Lucky Vincent ya Arusha wakitokea Marekani ambako walikuwa wanapatiwa matibabu.
PICHA 12: Mapokezi ya Majeruhi wa ajali ya basi la Wanafunzi, KIA
Leave a comment
Leave a comment