Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kenya: Mchungaji wa Shakahola na wenzake kusalia rumande kwa siku 30 zaidi
Share
Notification Show More
Latest News
Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok
September 27, 2023
Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake
September 27, 2023
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
September 27, 2023
Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kenya: Mchungaji wa Shakahola na wenzake kusalia rumande kwa siku 30 zaidi
Top Stories

Kenya: Mchungaji wa Shakahola na wenzake kusalia rumande kwa siku 30 zaidi

September 19, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mahakama mjini Mombasa nchini Kenya, imeagiza kuendelea kuzuiliwa kwa siku 30 zaidi, mchungaji mwenye utata, Paul Makenzi na wafuasi wake 28 ili kutoa nafasi ya uchunguzi zaidi kuhusiana na kesi ya mauaji ya Shakahola kabla ya kutoa uamuzi kuhusu ikiwa wadhaminiwe.

Makenzie kwa mara ya kwanza alikamatwa April 15 mwaka huu akituhumiwa kuwashawishi wafuasi wake kufunga kula hadi kufa kwa madai wataharakisha kufika mbinguni.

Aidha anatuhumiwa kutumia dini kueneza itikadi kali kwa wanachama wake, ambao baadhi walikataa kusoma na hata kupatiwa matibabu ya hospitali, ambapo tangu kukamatwa kwake miili ya watu 429 ilipatikana katika msitu wa shakahola.

Hadi sasa Makenzi amekuwa rumande kwa karibu miezi mitano bila kushtakiwa, ambapo wiki iliyopita wafuasi wake wengine waliagizwa kuzuiliwa kwa siku 30 zaidi kupisha uchunguzi, ambapo wote wameomba kupewa dhamana.

Wote hawa wanakabiliwa na mashtaka 12 ikiwemo, mauaji, ugaidi, kusaidia watu kujiua, utekaji, mauaji, ukatili dhidi ya watoto na utakatishaji fedha.

tazama pia…

You Might Also Like

Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok

Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA September 19, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Habari kubwa Magazetini Kenya leo September 19, 2023
Next Article Morocco yamkatalia rais wa Ufaransa Macron kuingia nchini humo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok
Top Stories September 27, 2023
Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake
Top Stories September 27, 2023
Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi
Sports September 27, 2023
Shule yatozwa faini kwa kutumia picha za watoto bila idhini ya wazazi Kenya
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Indonesia:Wananchi wapigwa marufuku kununua au kuuza bidhaa kwenye mitandao ikiwemo TikTok

September 27, 2023
Top Stories

Ukraine kutumia muda wa ukimya siku ya Jumapili kuwaenzi wanajeshi wake

September 27, 2023
Sports

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

September 27, 2023
Top Stories

Waziri mkuu wa zamani wa Pakistan Imran Khan ahamishwa jela nyingine,kifungo charefushwa

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?