Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Cardi b amfikisha Mahakamani Tasha K, kesi imeahirishwa
Share
Notification Show More
Latest News
Kenya: Maandamano ya upinzani kuendelea licha ya onyo la polisi wiki iliyopita.
March 27, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 27, 2023
March 27, 2023
Rais wa Chad atoa msamaha kwa waasi 380,waliofanya mauaji ya baba yake “2021”.
March 27, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Cardi b amfikisha Mahakamani Tasha K, kesi imeahirishwa
Habari za Mastaa

Cardi b amfikisha Mahakamani Tasha K, kesi imeahirishwa

January 14, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Rapper wa kike kutokea nchini Marekani , Cardi B ametoa ushuhuda katika Mahakama ya Georgia State akimshtumu mmiliki wa channel ya Youtube nchini humo.

Cardi B amemfikisha Mahakamani Tasha K kwa kumshtumu kusambaza habari zisizo za kweli.

Kwa upande wa Cardi b alieleza Mahakama kwamba amekuwa akishindwa kulala na kutoelewana na familia yake kutokana na habari zilizokuwa zikiandikiwa katika mtandao huo.

Mahakama ilipomsikiliza Tasha K alikanusha taarifa hizo na kesi hiyo imeahirishwa kusikilizwa tena mnamo Januari 18,2022.

AUNT EZEKIEL AANGUA KILIO MAHAKAMANI, KESI YA DAWA ZA KULEVYA “SAID MBASHA NA WENZAKE”

 

 

 

 

 

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

TAGGED: Cardi b, Mahakamani, Sabaya
Edwin TZA January 14, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Ole Sabaya na wenzake wakutwa na kesi ya kujibu
Next Article Sabaya akutwa na kesi nyingine ya kujibu, kuanza kujitetea “Mashahidi 10” (video+)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kenya: Maandamano ya upinzani kuendelea licha ya onyo la polisi wiki iliyopita.
Top Stories March 27, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Rais wa Chad atoa msamaha kwa waasi 380,waliofanya mauaji ya baba yake “2021”.
Top Stories March 27, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 27, 2023

March 27, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 26, 2023

March 26, 2023
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023

March 26, 2023
Magazeti

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 25, 2023

March 25, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?