Kesi ya Mbowe yapigwa kalenda,Mkuu wa Upelelezi amalizia ushahidi wake (video+)
January 12, 2022
Share
0 Min Read
SHARE
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi imeahirisha kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu mpaka Alhamisi Januari 13, 2022.