Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kesi ya Ugaidi:Mbowe asomewa upya mashtaka, wakili afunguka (Video+)
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kesi ya Ugaidi:Mbowe asomewa upya mashtaka, wakili afunguka (Video+)
Top Stories

Kesi ya Ugaidi:Mbowe asomewa upya mashtaka, wakili afunguka (Video+)

August 6, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

Kesi ya Uhujumu Uchumi na Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe imeahirishwa hadi August 13, 2021 kwa ajili ya Upande wa Mashitaka kuwasilisha taarifa za kesi hiyo kutoka Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP).

Hata hivyo, mshtakiwa Mbowe na wenzake watatu wamesomewa upya mashtaka yao mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba ambayo ni kula njama na tuhuma za Ugaidi ambayo waliyatenda kati ya Mei 1 na August 1, 2020 maeneo ya Moshi, Dar es Salaam, Morogoro na Arusha.

Mbowe alifikishwa kwa mara ya kwanza July 26, 2021.

“Leo mnamo tarehe 6 Agosti 2021 Freeman Mbowe pamoja na washtakiwa wanne wamesomewa upya mashtaka  kwa mujibu wa  Sheria kwa ujumla Freeman Mbowe anashtakiwa kwa kula njama za kutenda vitendo vya kigaidi ni kwamba alikula njama katika hotel moja uko Moshi za kutenda makosa ya kigaidi vya kufanya ulipulizi wa vituo vya mafuta”- Wakili Peter Kibatala

BOSS WA POLISI ASEMA SABAYA ALIFANYA MAKOSA “ANAVUJA DAMU MASIKIONI”

 

You Might Also Like

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

TAGGED: Mbowe, Ole Sabay
Edwin TZA August 6, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article B Classic 006 akiwa na Marioo wametuletea video mpya “Pisi Kali”
Next Article Picha 10:Viongozi mbalimbali waliofika Karimjee kumuaga Kwandikwa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?