Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Bongo Star Search Season 10 2019, kama una kipaji hii inakuhusu
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Bongo Star Search Season 10 2019, kama una kipaji hii inakuhusu
Mix

Bongo Star Search Season 10 2019, kama una kipaji hii inakuhusu

September 27, 2019
Share
2 Min Read
SHARE

Bongo Star Search (BSS) ni kipindi cha kusaka vipaji kupitia Televisheni, Kipindi hiki kimelenga kumtafuta Muimbaji mahiri kupitia usaili utakaofanyika mikoa mitano hapa Tanzania, watazamaji pia watashiriki kwenye mashindano ya kumchagua mshindi kwa kupiga kura mtandaoni.

BSS 2019 inatoa fursa msimu huu wa 10 wa kutafuta vipaji mahiri vya vijana machachari wa Kitanzania wenye vipaji vya kuimba, Bongo Star Search Inawakaribisha wale wote wenye Vipaji kushiriki Usaili kwenye Mikoa husika na kwenye Mtandao kupitia App ya StarTimes ON.

Usahili utaanza September 28 katika Mikoa 5, 28 & 29 September – Arusha at the Fuzz-Pointzone Resort (Mianzini) 4 & 5 October – Mwanza Rock City Mall, 10 & 11 October – Mbeya (Mbeya City Pub & Lounge), 17 & 18 October – Dodoma (Royal Village Hotel) na 23, 24 & 25 – Dar es Salaam (National Museum).

BSS 2019 itakuwa na majaji wanne watakaotoa kura za NDIO au HAPANA kwa washiriki baada ya kuangalia umahiri wao wa kuimba ukipata Kura Tatu za NDIO moja kwa moja utakua umeshinda kuingia mchuano wa pili, Usaili wa Mtandaoni utafanyika kuanzia October 8 & 30. Kwa kushiriki unaweza ukajaza form kupitia Application ya StarTimes ON kisha weka Link kwenye YouTube, au Jirekodi kisha post Instagram na kuweka hashtag #bssonlineaudition2019 na @startimestz.

VIDEO: Mimi Mars: Ugomvi kila saa, kugombana, visa, kuachwa kwa sms, You Again? (+video)

You Might Also Like

Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 17, 2022

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

TAGGED: bongomovienews
Rama Mwelondo TZA September 27, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article FIFA yatoa ufafanuzi kuhusu kura za Misri kutotambulika kwa MO Salah
Next Article Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania September 27, Hardnews, Udaku na Michezo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?