Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Hatua moja mbele Jeshi la Nigeria.. Waliotekwa na Boko Haram wameanza kuokolewa
Share
Notification Show More
Latest News
Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
September 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo September 30, 2023
September 30, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > Hatua moja mbele Jeshi la Nigeria.. Waliotekwa na Boko Haram wameanza kuokolewa
MixStori Kubwa

Hatua moja mbele Jeshi la Nigeria.. Waliotekwa na Boko Haram wameanza kuokolewa

April 29, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

nigerian-special-forces

Kampeni nyingi zimefanyika duniani kulaani tukio la wanafunzi wa kike zaidi ya 270 kutekwa na kundi la kigaidi la Boko Haram ni mwaka mmoja umepita, wasichana hao walitekwa toka Shuleni Jimbo la Chibok, Nigeria.

Rais aliyechaguliwa kuongoza Nigeria, Rais Buhari moja ya vitu alivyosema ni kwamba hawezi kuahidi kwamba atahakikisha wasichana hao wanapatikana ila atafanya jitihada zote mpaka wapatikane.

cde42378-2688-46e1-a4cc-8e558cbbe70f-1020x612

Good news ya leo ni kwamba Jeshi la Nigeria limesema limewaokoa wasichana 293 kutoka katika kambi za Boko Haram iliyoko katika msitu wa Sambisa, kaskazini mashariki mwa nchi hiyo.

Wasichana waliookolewa sio sehemu ya kundi la wanafunzi waliotekwa Shuileni, hawa ni wengine ambao wlaikuwa wakitekwa na Kundi hilo kila walipokuwa wakivamia vijiji mbalimbali vya kaskazini mwa nchi hiyo.

The-250-girls-are-being-held-by-Islamic-group-Boko-Haram-after-they-were-abducted-from-Chibok-in-north-eastern-Nigeria

Msemaji wa Jeshi la Nigeria amesema wanawake hao na mabinti walikutwa katika kambi nne tofauti baada ya Wanajeshi kuzishambulia kambi hizo.

millardayo.com ndio sehemu yako kuzipata story zote mtu wangu, unaweza kuwa karibu zaidi na mimi kwa kujiunga kwenye Facebook, Twitter na Instagram pia zitakufikia zote mtu wangu, jiunge hapa >>>twitter Insta Facebook

You Might Also Like

TPA watoa Elimu kuhusu huduma zao

Mkutano wa IAWP New Zealand wafungwa, CP Kaganda awakaribisha Wajumbe Tanzania

EWURA kutokomeza mafuta ya makopo vijijini

Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto

Joe Biden atuma salamu za pole kwa Mfalme wa Morocco

TAGGED: Nigeria
Millard Ayo April 29, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article NCCR kujitoa UKAWA na KAFULILA kutunukiwa tuzo ya Escrow..Ni kati ya Stori 10 zilizopewa headlines Magazetini leo April 29
Next Article Liverpool yazidi kupunguzwa kasi, mashabiki nao walisusia mauzo ya tiketi!!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.
Top Stories September 30, 2023
Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.
Top Stories September 30, 2023
TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.
Top Stories September 30, 2023
Maboresho ya bandari kusaidia ufanisi katika kazi.
Top Stories September 30, 2023

You Might also Like

Top Stories

Watumishi watakiwa kujipanga kustaafu pindi wanapoajiriw.

September 30, 2023
Top Stories

Anthony kurejea mazoezini baada ya sekeseke lililomkuta.

September 30, 2023
Top Stories

TASAC kusisitiza matumizi sahihi ya vyombo vya majini.

September 30, 2023
Top Stories

Askari polisi wanawake watakiwa kuchangamkia fursa za elimu

September 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?