Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kigwangalla amlipua Gwajima kuhusu Chanjo “Atafute wataalamu wampe Shule”
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Kigwangalla amlipua Gwajima kuhusu Chanjo “Atafute wataalamu wampe Shule”
Top Stories

Kigwangalla amlipua Gwajima kuhusu Chanjo “Atafute wataalamu wampe Shule”

July 26, 2021
Share
2 Min Read
SHARE

Ni Headlines za Mbunge wa Nzega Vijijini, Dkt Hamis Kigwangalla siku kadhaa zilizopita aliwahi kutangaza kwamba ameshajipata chanjo ya kinga ya Ugonjwa wa Corona (Covid-19).

Sasa leo July 26, 2021 anazimiliki vichwa vya habari baada ya kuipinga kauli ya Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima aliyoitoa jana katika Kanisa lake akiwataka watanzania kupuuzia chanjo hizo.

Kigwangalla aliandika…“Binafsi niliwahi kuwa na msimamo wa kukataa chanjo na niliuweka wazi. Nilipopata taarifa mpya na sahihi nilikimbia kuweka wazi mabadiliko ya msimamo wangu, haswa nikihofia watu kukataa chanjo kwa kuwa tu mtu mmojawapo mwenye ushawishi kwenye jamii kakataa chanjo”– Mbunge wa Nzega Vijijini, Hamisi Kigwangalla

“Tumerithi nchi yenye kuruhusu mijadala, ndiyo maana Askofu Gwajima anatumia haki yake ya kusema lakini ukiwa na maadili kidogo tu na ukajua nafasi yako kwenye jamii, utajitenga na uongo na kusimama na ukweli, kwa sasa utajua ukiwa una ushawishi basi utashawishi watu vibaya”– Hamis Kigwangalla

“Askofu Gwajima afanye uungwana azitafute makala za kisayansi asome kwa kina juu ya chanjo; na kama ana mashaka na sayansi yake atafute wataalamu wampe shule ya chanjo. Hata mimi Mbunge mwenzake nimesoma soma kidogo, niko tayari kumfafanulia maeneo kadhaa na kumuondoa shaka”- Hamis Kigwangalla

“Kwenye dunia ya sayansi na usomi, Kama ilivyo kwenye maisha ya kawaida, watu hubadili misimamo kutokana na kupata taarifa mpya, na sahihi zaidi; na ndiyo maana kila siku tunafanya tafiti na kujifunza, na kuboresha. Ndiyo maana leo kuna iPhone 12! misimamo haiwagi kama jiwe”– Hamis Kigwangalla

“Kama ambavyo mimi nilibadili msimamo wangu juu ya Chanjo baada ya ujio wa taarifa mpya za kisayansi juu ya usalama na uwezo wa chanjo, ndivyo ninaamini hata kaka yangu Askofu Gwajima atabadili msimamo wake na kujiunga na serikali kuhamasisha tutumie chanjo kujikinga” —Hamisi Kigwangalla.

KIGWANGALLA AMLIPUA GWAJIMA KUHUSU CHANJO ASEMA ‘ATAFUTE WATAALAMU WAMPE SHULE’

You Might Also Like

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

TAGGED: Gwajima, Hamisi Kigwangalla, Nzega
Edwin TZA July 26, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Shahidi kesi ya Sabaya alivyoombwa Milioni 70 ili aachiwe “Aliletewa wine na wali”
Next Article Rais Samia kuchanjwa chanjo ya Corona, Wizara ya Afya wataja siku na saa
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?