Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji afunguka na kutoa ufafanuzi taarifa za ‘uzushi’ zinasosambazwa Mitandaoni kuhusu Tanzania na Umoja wa Ulaya (EU), awaambia Watanzania kuwa taarifa zile zipuuzwe na si za kweli.
Kinachoendelea Ubelgiji Balozi afichua mapya, akanusha taarifa zinazoenea (+video)
Leave a comment
Leave a comment