Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kiongozi asimamishwa kazi kwa tuhuma za kumpa Ujauzito Peris oside wa fountain Gate Princess
Share
Notification Show More
Latest News
Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
September 27, 2023
Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7
September 27, 2023
Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Kiongozi asimamishwa kazi kwa tuhuma za kumpa Ujauzito Peris oside wa fountain Gate Princess
Sports

Kiongozi asimamishwa kazi kwa tuhuma za kumpa Ujauzito Peris oside wa fountain Gate Princess

September 18, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mkurugenzi Mtendaji wa Fountain Gate Academy, Japhet Makau ametolea ufafanuzi kuhusiana na tuhuma zilizotolewa kuhusiana na aliyekuwa Mchezaji wa Fountain Gate Princess, Peris Oside Raia wa Kenya kuwa amepewa ujauzito na mmoja kati ya Viongozi wa Timu hiyo.

Makau amesema Mchezaji huyo walishavunja nae mkataba na kumpa stahiki zake na kuhusu tuhuma za kupewa ujauzito, Fountain Gate imezipokea na kumsimamisha kazi mara mmoja Mtuhumiwa wakati uchunguzi ukiendelea na imeahidi kutoa ushirikiano kwa Taasisi husika wakati wote wa uchunguzi kwani Mtuhumiwa amekana kuhusika.

“Tunapenda ieleweke kuwa Fountain Gate Princess inapinga vikali tabia hizi na imekuwa ikishirikiana na Asasi za kiraia mbalimbali kwenye kutoa semina za mara kwa mara kwa Wachezaji na Viongozi na kuwapa nafasi Wachezaji kuongea na uongozi wa juu kabisa kama kunaonekana kuwepo dalili zozote za unyanyasaji wa kijinsia au rushwa ya aina yoyote ile”

 

You Might Also Like

Ukraine imesema haitacheza katika mashindano ya kandanda yanayohusisha timu za Urusi

Osimhen afuta picha zote za Napoli kwenye Instagram yake

Barcelona wanataka kumsajili Ndidi mwaka 2024

Chelsea wanafuatilia kwa karibu mzozo kati ya Victor Osimhen na Napoli

Thomas Frank amejibu maswali kuhusu hatma ya Ivan Toney huko Brentford…

Edwin TZA September 18, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Young Africans kukutana na Namungo ‘Mchezo wa Ligi Kuu’ Jumatano Sept 20. 2023
Next Article Mradi wa Umeme wa Upepo wa Zanzibar wapamba moto
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
Top Stories September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
Top Stories September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
Top Stories September 27, 2023
Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili

September 27, 2023
Top Stories

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

September 27, 2023
Top Stories

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

September 27, 2023
Top Stories

Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?