Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kipigo cha Brighton 2-1 chaiweka Arsenal kwenye rekodi mbovu Ulaya
Share
Notification Show More
Latest News
MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
March 24, 2023
Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’
March 24, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Kipigo cha Brighton 2-1 chaiweka Arsenal kwenye rekodi mbovu Ulaya
Sports

Kipigo cha Brighton 2-1 chaiweka Arsenal kwenye rekodi mbovu Ulaya

December 6, 2019
Share
1 Min Read
SHARE

Club ya Arsenal licha ya kumfukuza kocha wake Unai Emery kwa timu yake kuwa na mfululizo wa matokeo yasiofaa, Arsenal bado haijakaa sawa na imeendelea kuutafuta ushindi kwa shida katika michezo yake mbalimbali.

Arsenal wakiwa nyumbani usiku wa December 5 2019 walikuwa wenyeji wa Brighton katika mchezo wao wa 15 wa EPL msimu huu, licha ya sapoti kubwa ya mashabiki Arsenal wamepoteza kwa kufungwa magoli 2-1.

Magoli ya Brighton yakifungwa na Adam Webster dakika ya 36 na Neal Maupay dakika ya 80, huku goli pekee la Arsenal likifungwa na Lacazette dakika ya 51 ya mchezo huo ambao uliifanya Arsenal ishuke hadi nafasi ya 10 katika EPL kwa kuwa na point 19 na Brighton wakipanda hadi nafasi ya 13 kwa kuwa na point 18.

Game hiyo inaiingiza Arsenal katika rekodi mbaya Ulaya kwakuwa ndio timu pekee katika timu zinazotoka Ligi 5 kubwa Ulaya msimu huu, kuruhusu kupigiwa mashuti mengi 52 (On Target) kuliko timu yoyote, hiyo imetokea baada ya Brighton kupiga mashuti 9 (On target).

 

You Might Also Like

Mohammed Hussein afunguka haya kuhusu kutoitwa kwenye timu ya Taifa, ‘Taifa Stairs’

Simba SC waingia Mkataba na MobiAd

Simba yaandika historia Ligi ya Mabingwa Afrika

Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano

Yanga: Fedha za Rais Samia zinaleta ari kubwa

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA December 6, 2019
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Everton wamfukuza Marco Silva
Next Article VIDEO: Muhitimu wa Chuo Kikuu aliyebuni mashine ya kuparua na kusafisha samaki kwa sekunde 5
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.
Top Stories March 24, 2023
China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.
Top Stories March 24, 2023
20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.
Top Stories March 24, 2023
INDIA: Sheria mpya, kutobadili imani ya kidini yazua gumzo.
Top Stories March 24, 2023

You Might also Like

Top Stories

MAREKANI:Makamu wa rais Kamala Harris kukutana na viongozi wa Ghana, Tanzania na Zambia.

March 24, 2023
Top Stories

China yapinga uuzwaji wa sehemu ya programu yake “TikTok” kwa kulazimishwa na kutishiwa kufungiwa.

March 24, 2023
Top Stories

20 wafariki kutokana na virusi vya Marburg nchini E.Guinea.

March 24, 2023
Top Stories

Ndoa za jinsia moja zamuibua Makamu wa Rais, atoa tamko ‘hata wanyama hawafanyi’

March 24, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?