Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: PICHA 5: Mchezaji yeyote akijiunga na KRC Genk anapewa Benz, Mbwana Samatta je? (+Pichaz)
Share
Notification Show More
Latest News
Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
August 19, 2022
Kiwanda cha Chai Mponde Ujenzi wake umefikia 95%
August 18, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > PICHA 5: Mchezaji yeyote akijiunga na KRC Genk anapewa Benz, Mbwana Samatta je? (+Pichaz)
Sports

PICHA 5: Mchezaji yeyote akijiunga na KRC Genk anapewa Benz, Mbwana Samatta je? (+Pichaz)

April 2, 2016
Share
2 Min Read
SHARE

Mastaa wa soka Ulaya kutembelea magari ya kifahari sio ishu mpya sana na unaambiwa asilimia kubwa ya club za soka Ulaya huwa wana mikataba na kampuni za magari kama ilivyo kwa KRC Genk ya Ubelgiji anakocheza Mtanzania Mbwana Samatta ambao wana mkataba na Mercedes Benz.

Screenshot_2016-04-02-14-07-52-1
Hii ni Benz ya Kumordzi

Unaambiwa KRC Genk wana mkataba na Mercedes Benz ambao kila mchezaji wa klabu hiyo huwa anapewa Benz jipya hata kama atapenda kununua gari kutoka katika kampuni nyingine kama ilivyo kwa Leone Bailey ambaye anatembelea Benz na Range Rover.

Screenshot_2016-04-02-14-13-55-1
Kebano Neeskens nyuma ikionekana Benz yake

Mbwana Samatta bado hajapewa Benz yake kwa sababu hakufaulu mtihani wa alama za barabarani kwa kupungukiwa alama nne, kwa sasa anaendeshwa tu na dereva wa klabu anapokwenda sehemu mbalimbali lakini akifaulu mtihani atapewa kibali cha kuendesha gari Ubelgiji.

Mbwana Samatta
Mbwana Samatta
Screenshot_2016-04-02-14-09-36-1
Sandy Walsh na gari lake
12
Leon Bailey anamiliki Range Rover pia licha ya kupewa Benz
Screenshot_2016-04-02-14-18-23-1
Hii ni gari ya nahodha wa KRC Genk Thomas Buffel

HUKULIONA GOLI LA KWANZA LA MBWANA SAMATTA TOKA AJIUNGE NA KRC GENK? TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI

https://www.youtube.com/watch?v=N0OgV2dmXu0

UNATAKA KUJUA VIWANGO VYA MISHAHARA YA WACHEZAJI KWENYE LIGI ANAYOCHEZA SAMATTA? BONYEZA  >>>> HAPA

Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO‘ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwa sms, pia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyeza hapa >>> INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE

You Might Also Like

Samatta amerejea KRC Genk ya Ubelgiji

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

TAGGED: Mbwana Samatta, Soka bongo, soka ulaya
Rama Mwelondo TZA April 2, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Magazeti ya Tanzania yalichoandika leo April 2 2016 kwenye, Udaku, hardnews na michezo
Next Article Ronaldo kasherekea ushindi dhidi ya FC Barcelona akiwa na nguo ya ndani tu !!! (+Pichaz&Video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Utacheka: Mwijaku apanda gari la Diamond ‘Rolls Royce’, Zuchu aangua kicheko, Baba Levo atia neno
Entertainment August 19, 2022
Picha: Diamond ameingia makubaliano ya kudhamini mashindano ya Ndondo Cup
Entertainment August 19, 2022
Kuelekea Sensa Agosti 23, Mbunge wa Jimbo la Ushtu anena hili kwa Wananchi wake
Top Stories August 19, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 19, 2022
Magazeti August 19, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 18, 2022

August 18, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 16, 2022

August 16, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 15, 2022

August 15, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?