Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: VIDEO: ‘Kwanini mpaka sasa kuna kesi 1 tu Mahakama ya Mafisadi’ – Dr. Mwakyembe
Share
Notification Show More
Latest News
Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
February 2, 2023
Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
February 2, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > VIDEO: ‘Kwanini mpaka sasa kuna kesi 1 tu Mahakama ya Mafisadi’ – Dr. Mwakyembe
Mix

VIDEO: ‘Kwanini mpaka sasa kuna kesi 1 tu Mahakama ya Mafisadi’ – Dr. Mwakyembe

December 19, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Leo December 19 2016 Waziri wa sheria na katiba Dr. Harrison Mwakyembe alikwenda kwenye ofisi ya mkuu wa mkoa Dar es salaam Paul Makonda leo ambao kwa pamoja wametangaza mipango mipya ya kuwasaidia Wananchi wa Dar es salaam kisheria.

Pamoja na mambo mengine waziri Mwakyembe ameeleza jitihada mbalimbali ambazo wizara yake imekuwa ikizifanya ikiwemo uanzishwaji wa mahakama ya makosa ya rushwa na uhujumu uchumi ambayo ilianza kufanya kazi mwezi July na mpaka sasa ni kesi moja tu ambayo imesikilizwa kwenye mahakama hiyo, Waziri Mwakyembe amelizungumzia hilo….

‘Mahakama imeshaanza kufanya kazi lakini baadhi wanahoji kuwa walitegemea kuwe na kesi nyingi toka mwezi july ila tumekuja kubaini kwamba uchache wa kesi ndio mafanikio makubwa ya hatua ya kisheria tuliyochukua, kwa sababu sasa hivi wale waliozoea kupora pesa wamerudi nyuma ya kile kiwango tulichokuwa tumekiweka’

VIDEO: Baada ya Makonda kusikia mama wa huyo mtoto kakimbia, Bonyeza play hapa chini kutazama

You Might Also Like

Fredy Lowassa akabidhi vifaa vya shule kwa waliofauli 2023

Gynah ni mwimbaji wa kimataifa kenye usiku wa Kahawa

PICHA: Jerry Muro akabidhi madarasa 29 kwa RC Singida

Samsung wafungua duka lao ndani ya Palm village Mikocheni

Hatimaye Miss Tanzania 2020 akabidhiwa zawadi yake

TAGGED: mwakyembe, Paul Makonda
Edwin Kamugisha TZA December 19, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article List ya kwanza ya mastaa watakaoperform kwenye tuzo za SoundCityMVP2016
Next Article VIDEO: Alichokisema mmiliki wa Jamii Forums baada ya kupata dhamana leo
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama
Top Stories February 2, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo February 2, 2023
Magazeti February 2, 2023
Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha
Top Stories February 2, 2023
Watu 60809 wapata Elimu ya Sheria Morogoro
Top Stories February 2, 2023

You Might also Like

Top Stories

Alhamisi ya TBT: Video 10 za kitambo kutokea Marekani hautozijutia kuzitazama

February 2, 2023
Top Stories

Utaipenda: Muonekano mpya wa Ilala, namna Bilioni 120 ilivyoibadilisha

February 2, 2023
Top Stories

Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu

February 2, 2023
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?