Wizara ya aAfya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeanza kampeni maalum ya kuwaelimisha Watanzania namna ya kujikinga wasiambukizwe Virusi vya Corona, kampeni ambayo imeanzia Mkoani Mbeya ikiongozwa na Mrisho Mpoto.
“Kwenye Corona hatutumii Demokrasia, tunaweza kufa wote kabla somo halijaeleweka” RC Mbeya (+video)
Leave a comment
Leave a comment