Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: AUDIO: ‘Machali kuondoka ACT sioni kama ni jambo baya’ – Zitto Kabwe
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > AUDIO: ‘Machali kuondoka ACT sioni kama ni jambo baya’ – Zitto Kabwe
Mix

AUDIO: ‘Machali kuondoka ACT sioni kama ni jambo baya’ – Zitto Kabwe

November 23, 2016
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya mbunge wa zamani wa Kasulu mjini kupitia NCCR-MAGEUZI na baadae kuhamia ACT- WAZALENDO Moses Mashali kutangaza kuhamia CCM, kiongozi wa ACT-wazalendo Zitto Kabwe amezungumzia maamuzi hayo kwenye mahojiano na AyoTV.

Zitto anasema…>>>’Ni jambo la kikatiba kwa mtu kujiunga katika chama anachokitaka na wala sio jambo baya lakini chama chochote kinapopoteza mwananchama kinakuwa na huzuni, sisi tuna huzuni kwasababu tukio hilo limetupunguzia mwanachama mzuri‘ –Zitto Kabwe

‘Unajua siasa ni sawasawa na safari ambayo mnaanza pamoja lakini kuna wengine wanaishia njiani na wapo watakaofika hadi mwisho wa safari, sisi tuliopo tutaendelea na safari‘ –Zitto Kabwe

ULIIKOSA HII YA ZITTO KABWE KUGOMA KUPOST KWENYE SOCIAL MEDIA?

You Might Also Like

USAID Breakthrough ACTION Launches SPARK Program

EACOP yafanya jambo kulinda makaburi ya kimila Igunga

Wataalam wa maji watoa wito wa kukabiliana na uhaba wa maji

Kamati ya Bunge ya Miundombinu imeridhishwa na ujenzi wa BRT

Waziri Mkuu awataka vijana na Wanawake kuchangamkia program ya IMBEJU

TAGGED: ACT Wazalendo, habari daily, Zitto Kabwe
Admin November 23, 2016
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Muhudumu wa Bar aliyeimba mbele ya Waziri, hajaamini kilichotokea
Next Article PICHA15: Kampuni ya Mercedes Benz itatengeneza magari haya 300 tu!
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?