Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kylie Jenner atajwa kuwa Mwanamke wa kwanza mwenye wafuasi wengi instagram
Share
Notification Show More
Latest News
Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
March 20, 2023
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 20, 2023
March 20, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > Kylie Jenner atajwa kuwa Mwanamke wa kwanza mwenye wafuasi wengi instagram
Habari za Mastaa

Kylie Jenner atajwa kuwa Mwanamke wa kwanza mwenye wafuasi wengi instagram

January 21, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

NI Mwanamitindo kutokea nchin Marekani, Kylie Jenner ambae time hii ametajwa kuwa mwanamke wa kwanza mwenye wafuasi wengi mtandao wa Instagram.

Mrembo huyo ametajwa kuwa mwanamke wa kwanza kuwa na wafuasi Milioni mia 303,566,063.

Huku kidunia anaeshika namba moja kuwa na wafuasi wengi zaidi kupitia mtandao huo ni mchezaji anaekipiga klabu ya Manchester United Cristiano Ronaldo zaidi ya Milioni 393.

Mbali na kwamba kuwa Kylie Jenner ametajwa kuwa mwanamke wa kwanza mwenye  wafuasi wengi  kupitia mtandao wa instagram.

Pia jina lake liliwahi kutajwa katika jarida la Forbes kuwa ni miongoni mwa Mabilionea wanaoingia pesa hususani Kylie kupitia kampuni yake ya inayozalisha bidhaa iitwayo Kylie Skin.

You Might Also Like

Sina Tatizo na yeye, mteule wa Rais hanuniwi” Steve Nyerere Kafunguka (+video)

Rihanna & Asap rocky waipanga ndoa yao ya siri , barbados hivi karibuni

MTOTO WA BECKHAM APOST SAA YA MIL 97, ANYWA POMBE NA BABA YAKE

MADONNA AWAJIBU MASHABIKI MUONEKANO WAKE MPYA BAADA YA UPASUAJI!

Exclusive: Dully Vanny kwa uchungu azungumzia video chafu aliyotajwa, amtaja diamond na mama yake

Edwin TZA January 21, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Radi yaua Kigoma yapita katika kuta ya nyumba “Yapiga nyumba tatu”(video+)
Next Article Mwimbaji Adele uingiza Bilioni 1.6 za kitanzania kwa show moja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories March 20, 2023
Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Top Stories March 20, 2023
Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.
Top Stories March 20, 2023
Serikali ya Taliban yapiga marufuku zao la bangi.
Top Stories March 20, 2023

You Might also Like

Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Top Stories

Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .

March 20, 2023
Top Stories

Tunisia yaadhimisha Miaka 67 ya Uhuru.

March 20, 2023
Top Stories

Video: Jamaa atumia dakika 8 kula Wali na nyama kilo mbili

March 19, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?