Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: FULL VIDEO: Mfanyabiashara Ikbal kuhusu eneo alilompatia Paul Makonda
Share
Notification Show More
Latest News
Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
March 22, 2023
‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi
March 22, 2023
Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Mix > FULL VIDEO: Mfanyabiashara Ikbal kuhusu eneo alilompatia Paul Makonda
Mix

FULL VIDEO: Mfanyabiashara Ikbal kuhusu eneo alilompatia Paul Makonda

March 3, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Baada ya taarifa ya Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi, William Lukuvi  kuwa mfanyabiashara Mohamed Ikbal amemdanganya mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda kwa kumpatia eneo la ardhi lililopo Lingato Kisarawe II, Kigamboni-Dar es salaam ambalo si mali yake bali ni la Serikali kufuatia kushindwa kesi kati yake na wananchi.

Leo upande wa Mfanyabiashara huyo umejitokeza na kutoa ufafanuzi kuhusu eneo hilo na kusema kuwa Mohamed Ikbal ni mmiliki halali wa eneo la ardhi lenye ukubwa wa ekari 3500.

Ufafanuzi walioutoa upo kwenye video hii hapa chini, Bonyeza play kutazama

ULIKOSA? Waziri Lukuvi alivyosema kuwa kiwanja alichopewa Makonda kina utata, Bonyeza play hapa chini kutaza

You Might Also Like

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

WFP, imetangaza kusitisha kutoa misaada ya kibinadamu mashariki mwa Sudan.

Jenerali muhoozi aahidi msaada kwa Marekani kujenga sanamu ya rapa Tupac Shakur.

Bunge la Uganda lapitisha mapendekezo ya kifungo cha miaka 10 kwa wapenzi wa jinsia moja.

UN: Tahadhari juu ya ongezeko la joto Duniani.

TAGGED: Dar es salaam NEWS, Paul Makonda, TZA HABARI
Edwin Kamugisha TZA March 3, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: ‘Msiwaogope wanajeshi, wapeni ushirikiano’ – Mkuu wa Majeshi Tanzania
Next Article Zimetajwa ngoma kali 10 za muda wote Afrika, kutoka TZ ipo moja
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”
Top Stories March 22, 2023
“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi
Top Stories March 22, 2023
Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini
Top Stories March 22, 2023
‘Serikali kutumia Matokeo ya tafiti kwa maslahi ya Taifa’- Rais Mwinyi
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Wanywaji Pombe wapewa alama tatu, “mdogomdogo, Wajawazito na Madereva”

March 22, 2023
Top Stories

“Serikali kutenga Fedha kulinda hadhi ya urithi wa Mji mkongwe Zanzibar”- Rais Mwinyi

March 22, 2023
Top Stories

Vurugu zilizotokea Mgodini mirerani, wataalamu wa Dodoma wazama migodini

March 22, 2023
Top Stories

Guterres: Kwenye maadhimisho ya siku ya Maji duniani, “mahitaji yanaongezeka tutunze rasilimali za maji”.

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?