Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: “Kuwacontrol wanawake ni ngumu sana” – Lamar
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Habari za Mastaa > “Kuwacontrol wanawake ni ngumu sana” – Lamar
Habari za MastaaMix

“Kuwacontrol wanawake ni ngumu sana” – Lamar

March 22, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Ayo TV Entertainment ilifanya exclusive interview na producer Lamar kutokea Fishcrab ambapo ilimuuliza sababu iliyopelekea kuvunjika kwa kundi la Shostiz ambalo lilikuwa linaundwa na wasanii watatu wa kike akiwemo mwanadada Menina ambapo alisema sababu kubwa ya kuvunjika kwa kundi hilo ni ugumu aliokuwa anaupata katika kuliongoza kundi la muziki lenye wanamuziki wanawake tupu.

“Unajua kuwacontrol wanawake ni ngumu sana. Unakuta kila mtu anaamka akiwa kwenye mood zake. Labda tumepanga kushoot halafu unakuta huyu hayupo kwenye mood nzuri. Ilikuwa ni ngumu kwangu pia walivyotengana na kila mmoja kuolewa, so ikawa ngumu kwa kundi kuendelea.” – Lamar.

Nilimuuliza pia kuhusu msanii Geez Mabovu aliyefariki mwaka 2014, vipi kazi zake ambazo hazijatoka na kama ana mpango wa kuziachia.

Kumsikiliza zaidi Lamar, bonyeza Play kwenye video hapo chini.

VIDEO:Ulimiss hii kutoka kwa Harmo Rappa? nimekuekea hapa chini bonyeza Play kuangalia

BREAKING NEWS zote na stori za mastaa utazipata kwa Reporter wako MillardAyo, hakikisha umejiunga na mimi kwenye Facebook, Twitter, Instagram, Snapchat, Youtube, APP kwenye ANDROID na IOS kote huko kwa jina hilohilo la @millardayo

 

You Might Also Like

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 13, 2022

Mwana FA alivyoungana na Viongozi mbalimbali kuhamasisha Zoezi la Sensa, Masuguru Wilayani Muheza

Bwawa la Mwalimu nyerere sasa kazi ni Usiku na Mchana, ‘kukamilika June 2024’ Waziri Makamba anena

Picha:Kutoka kwenye shangwe za Simba DAY uwanja wa Mkapa Dar es Slaam

Watalii zaidi ya 30 watembelea maporomoko ya Maji Hululu

TAGGED: burudani, habari za mastaa, Lamar
Admin March 22, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mambo matano ya kufahamu kuhusu MC Alger itakayocheza na Yanga Kombe la Shikisho Afrika
Next Article VIDEO: Njia 3 za kuigundua noti bandia za elfu 5 na 10 za Tanzania
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?