Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima
Top Stories

liganga na Mchuchuma ngoma nzito, Waziri akubali hoja za Askofu Gwajima

February 2, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Wabunge wameiomba Serikali kuupitia upya mkataba wa miradi ya chuma na makaa ya mawe ya Liganga na Mchuchuma ulioingiwa kati yake na Kampuni ya Schwang Holder ya China kutokana na kuwa na harufu ya ufisadi wakati wa uingiwaji wake.

Wabunge hao akiwemo Stanslaus Nyongo na Christopher Ole Sendeka wameiomba serikali kupitia upya Utekelezaji wa mradi huo kati yake na mwekezaji ili kuondoa dosari inayoashiria ufisadi ndani ya mkataba.

Hoja hiyo imeibuka wakati Mbunge wa Kawe Askofu Josephat Gwajima akitoa mchango wake ambapo Wabunge hao walisimama na kuupinga ushauri wa Askofu Gwajima aliyetaka mkataba huo kutositishwa kwasababu utaipatia Serikali fedha nyingi.

Kwa upande wake Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara, Dr. Ashatu Kijaji aliingilia kati na kubainisha kuwa Serikali inawafuatilia Watendaji wote waliohusika na uingiaji wa mkataba huo.

Akifafanua Dr. Kijaji ameongeza kuwa walimwita Mwekezaji huyo zaidi ya mara tano ili kuzungumza nae juu ya dosari za mkataba huo usioendana na sheria za nchi lakini hakufika na ili kwenda na kasi ya Serikali ya awamu ya sita itaachukua uamuzi wenye maslahi kwa taifa ambao hautaliumiza Taifa wala Mwekezaji.

 

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

Edwin TZA February 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mbunge Mpina awaka Bungeni ishu ya mfumuko wa bei (video+)
Next Article Video: Mama amwaga machozi mbele ya Mwenyekiti wa umoja wa UVCCM, Rais Samia amtumia ujumbe huu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?