Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Lil uzi vert afichua siri nyuma ya diamond aliyoiweka kwenye paji la uso wake
Share
Notification Show More
Latest News
Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027
September 27, 2023
Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
September 27, 2023
Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Entertainment > Lil uzi vert afichua siri nyuma ya diamond aliyoiweka kwenye paji la uso wake
Entertainment

Lil uzi vert afichua siri nyuma ya diamond aliyoiweka kwenye paji la uso wake

June 2, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Hatimaye Lil Uzi Vert amefichua sababu iliyopelekea kupandikiza almasi ya dola milioni 24 zaidi wa Trillion 56 za ki-Tanzania kwenye paji la uso wake na inasemekana huenda ilikuwa na uhusiano wowote na mmoja wa wahusika wa katuni wanaopendwa zaidi na rapa huyo.

Katika mahojiano mapya na jarida la mitindo la 032c, lililotolewa Jumanne (Mei 30), Uzi alimshukuru Steven Universe wa Cartoon Network kwa kuwahamasisha kupata kufanya upasuaji huo.

Rapa huyo alibainisha jinsi walivyofurahishwa na mhusika mkuu wa kipindi hicho, Steven, ambaye ana jiwe la thamani lenye muonekano wa unaong’aa  tumbo.

Hata hivyo, rapper huyo alibainisha kuwa hawakuwa na nia ya kutoboa kitovu kwa hivyo badala yake walichagua paji la uso wake.

“Nilikuwa nikitazama kipindi hiki kiitwacho Steven Universe, na mmoja wa wahusika katika kipindi hicho alikuwa na almasi ya pinki kwenye kitovu chake sikutobolewa kitovu , nikaamua kuiweka kwenye paji la uso,” alisema. “Hiyo ni katuni ninayopenda  sana.”

Uzi alianza utoboaji huo mnamo Februari 2021, lakini mashabiki zake hawakuonekana kufurahia jambo hilo.

Picha za Uzi zilipoanza kusambaa mtandaoni, mazungumzo hatimaye yalibadilika na kuwa maswali kuhusu iwapo kutoboa kumejikita kuwa jambo sahihi kwake au la.

“Hapana, sikuwahi kusita,” walisema. “Lakini nilichukua muda wangu kujifunza kadiri nilivyoweza kuhusu hili kabla sijaweza kuendelea. Kuchukua muda kujitambua wewe ni nani ni sehemu kubwa ya maana ya kuwa hai.

picha yake ya tangazo pamoja na wakati wa mahojiano ilizua utata na gumzo kwa baadhi ya shabiki zake kwani ilimuonesha akiwa anatokwa damu [artificial] wengi wakasema sasa ana ‘ushetani’ ndani yake.

You Might Also Like

Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

Ukraine yawashikilia wanaume 2 wanaotuhumiwa kuisaidia Urusi katika mgomo wa Kiev

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA June 2, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kampuni ya Boeing ya nchini Marekani imekabidhi ndege ya mizigo aina ya Boeing 767-300F
Next Article Kanye West na mke wake wapangisha kwenye mjengo wanaolipia zaidi ya Mill 47 kwa mwezi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027
Sports September 27, 2023
Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
Top Stories September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
Top Stories September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Sports

Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027

September 27, 2023
Top Stories

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili

September 27, 2023
Top Stories

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

September 27, 2023
Top Stories

Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?