Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Lil Wayne ajinadi kuwa rapa bora wa Hip Hop “G.O.A.T”
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Entertainment > Lil Wayne ajinadi kuwa rapa bora wa Hip Hop “G.O.A.T”
Entertainment

Lil Wayne ajinadi kuwa rapa bora wa Hip Hop “G.O.A.T”

February 27, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Legendaries wa Hip-hop wamekuwa wakijadili kwa wiki kadhaa kuhusu orodha mpya ya rapa bora zaidi wa muda wote ambayo Jay-Z anashika nafasi ya 1 lakini chakushangaza ni kwamba sasa Lil Wayne ameingia kwenye gumzo na anasema yeye ndiye G.O.A.T. Yaani “Greatest Of All Times”

Weezy alisema hayo wiki iliyopita wakati alipokuwa kwenye podcast ya Muziki ya Apple ya Zane Lowe, ambapo mada ya Rapa 50 bora kwenye billboard wa muda Wote ambayo iliyochapishwa Februari 8 ilipotoka na kwa mshangao wayne aliingia kwenye #7 tu, chini ya zingine kadhaa.

Kwenye list yupo Biggie, Eminem, Tupac, Nas, Kendrick Lamar na Jay-Z mbele yake, lakini Wayne aliomba kutofautiana na hao wote, hasa miongoni mwa wale ambao bado wapo kwenye game na moja kwa moja, yeye ni namba 1 na ni mkuu kuliko wao.

Ukifuatilia upande wa mtandao wa  Twitter inaonekana wengi wanakubaliana na dhana kwamba Wayne, kwa kweli, ni bora kuliko Jay-Z katika masuala ya uwezo wa kurap na ukweli ni kwamba, Weezy bado yuko kwenye chart ya mwaka wa 2023 tofauti na jay-z alipo sasa.

Mpaka sasa idadi yao ya hits songs inalingana Wayne ana hits 3 #1 (Billboard Hot 100) na Jay-z ana 4 #1 zake mwenyewe lakini Wayne ana nyimbo 25 kati ya 10 bora kihistoria, wakati Jay ana nyimbo 22 tu

You Might Also Like

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

July, 2022 hadi May, 2023 makosa makubwa ya jinai yameongezeka.

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA February 27, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Noma!! Tazama Gigy Money alivyompagawisha msanii wa Nigeria Jukwaani
Next Article Kamisheni ya Maendeleo ya Ushirika ‘TCDC’ yaanza kutekeleza mpango huu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Top Stories

Waziri wa mambo ya nje wa Urusi Sergey Lavrov azuru Kenya

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?