Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Aliyesambaza taarifa za kumuona ‘Kachero’ alikolazwa Lissu Mahakamani leo
Share
Notification Show More
Latest News
Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
March 22, 2023
Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’
March 22, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Aliyesambaza taarifa za kumuona ‘Kachero’ alikolazwa Lissu Mahakamani leo
Top Stories

Aliyesambaza taarifa za kumuona ‘Kachero’ alikolazwa Lissu Mahakamani leo

September 28, 2017
Share
1 Min Read
SHARE

Mfanyabiashara Mbutusyo Mwakihaba (40) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kosa la kusambaza taarifa za uongo kwamba amemuona Kachero karibu na Hospitali aliyolazwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.

Mshtakiwa huyo alisomewa kosa lake mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Victoria Nongwa na Wakili wa Serikali, Janeth Magoho.

Wakili huyo wa Serikali alidai kuwa September 11, 2017 huko Dar es Salaam kupitia mfumo wa kompyuta alisambaza taarifa hiyo kwenye mtandao wa kijamii wa WhatsApp.

Mshtakiwa huyo anadaiwa kusema “Huyo ni Kachero wa Usalama wa Taifa anatambulika kwa jina la Jose ameonekana Nairobi karibu na Hospitali aliyolazwa Mbunge wa Singida Mashariki, Mh Tundu Lissu mwacheni mwenzenu.”

Wakili huyo wa Serikali, Magoho alidai kuwa mshtakiwa aliyatoa maneno hayo kwa nia ya kupotosha umma ambapo baada ya kusomewa shtaka hilo, mshtakiwa alikana na upande wa mashtaka ulidai kuwa upelelezi bado haujakamilika.

Hakimu Nongwa alimtaka mshtakiwa huyo kuwa na wadhamini wawili wanaoaminika ambao kila mmoja anatakiwa kusaini bondi ya Tsh Milioni 5 ambapo kesi imeahirishwa hadi October 12, 2017 kwa ajili ya kutajwa na mshtakiwa ameshindwa kukamilisha masharti hayo ya dhamana na kupelekwa rumande.

Viongozi wa juu CHADEMA wazungumzia hali Tundu Lissu kwa sasa

You Might Also Like

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

TAGGED: Mahakamani, TZA HABARI
Millard Ayo September 28, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article NEW YORK! Swizz Beatz kamtumia salamu Diamond Platnumz
Next Article Madee aeleza kilichosababisha video yake mpya ya ‘Sema’ kuchelewa kutoka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)
Top Stories March 22, 2023
Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili
Top Stories March 22, 2023
Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya
Top Stories March 22, 2023
Mfungo wa Ramadhan Kaya 1000 zapatiwa vyakula “Tunarudisha kwa Jamii”
Top Stories March 22, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwili waopolewa mto Msimbazi DSM, Jeshi la Zimamoto (VideO+)

March 22, 2023
Top Stories

Rais Samia atoa Bilioni 196.6 Mlele Kwa miaka miwili

March 22, 2023
Top Stories

Video: Rais Samia amuibua Ally Hapi, Afunguka haya

March 22, 2023
Top Stories

Jamaa aangusha gari Mtaroni, Dereva haonekani, mashuhuda wasimulia, ‘Alikuwa anaongea na simu’

March 22, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?