Mwili wa Rosemary Nyerere ambaye ni mtoto wa 7 wa Hayati Mwl.Julius Nyerere upo katika Kanisa la St.Imakulata Upanga DSM kwa ajili ya Ibada kabla ya kwenda kuzikwa katika makaburini Pugu, tazama LIVE kwa kubonyeza PLAY hapa chini.
LIVE: Ibada ya mazishi ya mtoto wa Nyerere
Leave a comment
Leave a comment