Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Julai 26, 2023 ameshiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Afrika kuhusu Rasilimali Watu katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam.
Live: Rais Samia akihutubia kwenye mkutano wa wakuu wa nchi za Afrika kuhusu Rasilimali watu- JNICC
Leave a comment
Leave a comment