Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Mhe. Samia Suluhu Hassan ni mgeni rasmi katika wiki ya nenda kwa Usalama Barabarani kitaifa katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.
TAGGED:
Arusha, Barabarani, Rais Samia
TZA