Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Kiungo huyu anaweza kuwa mbadala kuvaa viatu vya Steven Gerrard ndani ya Liverpool?
Share
Notification Show More
Latest News
Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
August 15, 2022
Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania
August 15, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Kiungo huyu anaweza kuwa mbadala kuvaa viatu vya Steven Gerrard ndani ya Liverpool?
Sports

Kiungo huyu anaweza kuwa mbadala kuvaa viatu vya Steven Gerrard ndani ya Liverpool?

April 23, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

Steven GerrardLiverpool imeanza mikakati ya kukiimarisha kikosi chake kwa ajili ya msimu ujao wa ligi kuu ya England.

Ikiwa imekata tamaa ya kutwaa ubingwa wa ligi kuu baada ya Chelsea kupewa nafasi kubwa kwa sasa tayari imemwongezea mkataba wa miaka mitano kiungo wao Jordan Henderson mpaka mwaka 2020, baada ya mkataba huo kwa sasa atakuwa akilipwa paundi 100,000 kwa wiki.

son
Jordan Henderson

Henderson alisajiliwa na Liverpool mwaka 2011 kwa paundi milioni 20 akitokea Sunderland baada ya kuonesha kiwango kizuri uwanjani.

Nahodha wa klabu hiyo Steven Gerrard ambaye tayari ametangaza kuihama klabu hiyo mwishoni mwa msimu huu kwenda klabu ya LA Galaxy ya Marekani, imeonekana kama hatoacha pengo lolote kwa kuwa nafasi ya Ucaptain wake itachukuliwa na Henderson.

Unahitaji chochote ninachokipata kisikupite? jiunge na mimi kwenyeTwitter,Facebook na Instagram kwa kubonyeza hapa >>>  Twitter InstaFB  na nitakua nikikutumia kila ninachokipata pia usisahau kusubscribe YouTube kwa kubonyeza hapa>>>>Videos ili kila video ya AyoTV ikufikie.

You Might Also Like

Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

TAGGED: Jordan Hendeson, Liverpool, Steven Gerrald
Millard Ayo April 23, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kuna ukweli wowote hii ishu ya Director wa Bongo Movie kumwingilia kinguvu mwigizaji?? #UHeARD
Next Article Hii ni story ya majonzi kwa wapenzi wa soka hasa Klabu ya Everton
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Breaking: William Ruto atangazwa kuwa Rais Kenya, Shangwe na furaha zaibuka mitaani Nairobi
Top Stories August 15, 2022
Matokeo ya Urais Kenya kutangazwa leo, Mgombea Ruto awasili Ukumbini Boma ‘Kusubiria matokeo hayo’
Top Stories August 15, 2022
Live: Matokeo ya Urais nchini Kenya yanatangazwa muda huu
Top Stories August 15, 2022
Manara na Wana-Yanga wakomaa kuwa kejeli Simba ‘Mlete Mzunguu’
Sports August 15, 2022

You Might also Like

Sports

Club ya Wolves ya England kuleta makocha wawili Tanzania

August 15, 2022
Sports

Inter Milan wawapa Yanga cha kusema, Shaffi Dauda atia neno, Manara apigilia msumari

August 15, 2022
Sports

Barbara awatuliza mashabiki wa Simba, wataka Mzungu aachwe wana mashabiki na mbinu za Kocha

August 15, 2022
Sports

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’

August 14, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?