Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Live:Waziri Mwigulu akitaja viwango vya Tozo kwenye miamala vilivyopunguzwa
Share
Notification Show More
Latest News
Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
May 29, 2023
Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi
May 29, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Live:Waziri Mwigulu akitaja viwango vya Tozo kwenye miamala vilivyopunguzwa
Top Stories

Live:Waziri Mwigulu akitaja viwango vya Tozo kwenye miamala vilivyopunguzwa

September 1, 2021
Share
1 Min Read
SHARE

NI Septemba 1 2021 ambapo Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba anazungumza na Waandishi wa habari muda huu kuhusu viwango vya tozo kwenye miamala vilivyopunguzwa.

“Kutekeleza Teknolojia ambayo itaenda kurahisisha ama kupunguza sehemu ya gharama katika sekta hii”- Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

“Mheshimiwa Rais alielekeza pia tuangalie utaratibu wa usimamizi wa fedha hizi hazichanganywi na fedha zingine tumeona tukusanyane na tutatue matatizo hasa kwenye huduma za Jamii”- Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

“Wengine walikuwa wanapata hofu na hii sekta  nikawaambia kwamba Mheshimiwa Rais alichoguswa nacho ni kwamba Wananchi wake wamemwambia aangalie namna ya kupunguza jambo hili”- Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba

“Lakini wamemuomba aangalie kwenye vile viwango ili viwaruhusu visiwakwamishe kwenye maendeleo kwahiyo upande wa Sekta tuliendelea katika wakati ule miamala ilikuwa milioni 10, milioni 11, milioni 10.Kabla ilivyokuwa hatujaanza hata wananchi watakubaliana nami kwamba viwango viwe rafiki ili Wananchi wasiathirike kwenye Shughuli zao”- Waziri wa Fedha Dkt  Mwigulu Nchemba

BREAKING: TOZO ZASHUSHWA, AGIZO LA RAIS SAMIA LATEKELEZWA,MWIGULU ATIA SAINI MAREKEBISHO YA KANUNI

 

You Might Also Like

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

TAGGED: Mwigulu
Edwin TZA September 1, 2021
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Nandy ngumi mkononi, maandalizi ya Nandy Festival Dar es Salaam
Next Article Live:Mkutano wa Simba SC na waandishi muda huu
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito
Top Stories May 30, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo May 30, 2023
Magazeti May 30, 2023
Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’
Top Stories May 29, 2023
Sentensi za Mkurugenzi wa Asas kwenye Mkutano Mkuu wa 37 wa Jumuiya ya Tawala za mitaa Tanzania (ALAT)
Top Stories May 29, 2023

You Might also Like

Top Stories

Katibu wa NEC anena kuhusu mfumo wa M-Mama, utasaidia kupunguza vifo vya akina Mama Wajawazito

May 30, 2023
Top Stories

Waziri Masauni asimama Bungeni Mei 29, 2023 ‘Watanzania 66 waukana Uraia’

May 29, 2023
Top Stories

Hospitali yachunguzwa kwa madai ya kuwaweka watoto wachanga kwenye maboksi

May 29, 2023

Marekani yabatilisha visa ya spika wa bunge la Uganda baada ya saini Mswada mkali wa ushoga kuwa sheria

May 29, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?