Muda mfupi baada Mahakama kutupilia mbali maombi ya Tundu Lissu kupinga kuvuliwa Ubunge, Spika Ndugai amesimama Bungeni akisisitiza Wabunge kutoa taarifa wanapougua> “Bahati mbaya Spika hawezi kujitokeza kila wakati kujibu kwenye mitandao ila majibu yapo”.
Baada ya maamuzi ya Mahakama kesi ya Tundu Lissu, Spika atia neno (+video)
Leave a comment
Leave a comment