Mbunge wa Singida Mashariki kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo na CHADEMA na Mnadhimu Mkuu wa Upinzani Tanzania Tundu Lissu amezungumzia tukio la kukamatwa Waziri wa zamani Lazaro Nyalandu na Wanachama wengine wa chama hicho.
Tundu Lissu aibuka azungumzia Lazaro Nyalandu kukamatwa Mkoani kwao “hakuna Sheria hiyo” (+video)
Leave a comment
Leave a comment