Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Lukaku apigwa faini Bilioni 1
Share
Notification Show More
Latest News
Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
May 31, 2023
Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano
May 31, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Lukaku apigwa faini Bilioni 1
Sports

Lukaku apigwa faini Bilioni 1

January 5, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mshambuliaji wa Chelsea FC, Romelu Lukaku ameomba radhi kwa kocha wake Thomas Tuchel pamoja na mashabiki wa mabingwa hao wa Ligi ya Mabingwa Barani Ulaya, ikiwa siku kadhaa baada ya mahojiano ya dhihaka kwa kocha wake aliyofanya na Sky Sports kuwekwa hadhari kituo hicho.

Lukaku ameomba msamaha baada ya kuonesha hisia zake chanya juu ya mbinu za kocha wake zinazombelekea Mbelgiji huyo kukosa nafasi ya kuanza kwenye kikosi cha kwanza mara kwa mara ambapo Kai Havertz amekuwa akitumika mara nyingi kama namba tisa.

Kufuatia mazungumzo ya Lukaku na kocha wake Tuchel , mchezaji atazamiwa kulipa faini ya Euro Laki sita sawa sawa na Billion 1.5 za kitanzania ikiwa kama adhabu ya kuvunja sheria za matumizi ya viombo vya habari za klabu ya Chelsea pamoja na kukomesha tabia hiyo ya kumzungumzia kocha wake vibaya.

Lukaku aliachwa nje ya kikosi cha Chelsea walipocheza dhidi ya Liverpool kwenye mchezo uliomalizika kwa sare ya 2-2.

You Might Also Like

Guardiola anyakua tuzo ya tatu ya Meneja Bora wa Mwaka wa LMA!

Pochettino Kocha Mpya Chelsea

Mario Balotelli atabiri fainali ya Man City vs Inter Milan juni 10

Cristiano Ronaldo kuondoka Al-Nassr adaiwa kuwasiliana na Real Madrid

Picha: Yanayojiri kwa Benjamini Mkapa, mashabiki wafurika nje kushuhudia mechi ya Yanga SC dhidi ya USM Alger

TAGGED: michezo
Pascal Mwakyoma TZA January 5, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article #Live: Yanga wana jambo lao muda huu, Manara injinia Hersi wanazungumza
Next Article Exclusive:Kingwendu kafunguka safari zake Ulaya, Kumiliki gari 4, mjengo wake
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)
Top Stories May 31, 2023
Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo
Top Stories May 31, 2023
Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana
Top Stories May 31, 2023
Katibu wa CCM Daniel Chongolo atoa siku 10 kwa Waziri wa Maji kukamilisha mradi wa maji katika Wilaya ya Kilolo
Top Stories May 31, 2023

You Might also Like

Top Stories

Rafiki wa MC aliyejirusha ghorofani atoweka, aacha ujumbe mzito (+video)

May 31, 2023
Top Stories

Bilioni 4 zimetengwa kwa Wabunifu, watapewa Milioni 50+ watakaokidhi vigezo

May 31, 2023
Top Stories

Isaac anayedaiwa kumng’oa Jino mke wake afikishwa Mahakamani, anyimwa Dhamana

May 31, 2023
Top Stories

Rais Mwinyi azindua kamati ya maridhiano

May 31, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?