Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Lyon kupinga Mahakamani kumalizwa kwa Ligue 1 2019/20
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > Lyon kupinga Mahakamani kumalizwa kwa Ligue 1 2019/20
Sports

Lyon kupinga Mahakamani kumalizwa kwa Ligue 1 2019/20

May 27, 2020
Share
1 Min Read
SHARE

Club ya Olympic Lyon ya Ufaransa imeripotiwa kuanza ushindani wa kisheria na chama cha soka cha Ufaransa kufuatia uamuzi wao wa kumaliza msimu 2019/20 na kuitangaza PSG kama Bingwa.

Lyon watapeleka kesi hiyo katika Mahakama za juu za Ufaransa, ukizingatia msimu huo umemalizika na msimamo kutambulika wao wakiwa nafasi ya 7 hivyo wanakosa walau nafasi ya kucheza Europa League.

Ligue 1 na Ligue 2 Ufaransa zilimalizwa April huku Legue 1 ikiwa zimesalia mechi 10 kumalizia msimu kitu ambacho Lyon kinawaumiza na kulalamika kuwa club zitapoteza mapato ya karibia euro milioni 900.

Rais wa club ya Lyon Jean-Michel Aulas ndio anaongoza malalamiko hayo na tayari ameshaongea ma mamlaka husika akipeleka malalmiko yao Mahakamani.

You Might Also Like

Nyota wa zamani wa Manchester United Lingard kuondoka Nottingham Forest

Pep Guardiola awaonya Manchester City dhidi ya mchezo wao jumamosi hii

FA CUP: Haaland hana hofu kwa Man Utd, – Varane

Mashabiki wa soka nchini china kulipa zaidi ya Million 1 kumuona Messi

Rais wa FIFA Gianni Infantino aipongeza Young Africans ,ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara 2022/23

TAGGED: soka ulaya
Rama Mwelondo TZA May 27, 2020
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Espanyol na Leganes kufidia mashabiki wao
Next Article VIDEO: AzamFC wafunga mashine maalum uwanjani kupulizia dawa kuua Corona
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?