Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maambukizi ya Ukimwi yashuka, kamati ya Bunge wameeleza haya
Share
Notification Show More
Latest News
Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
August 11, 2022
Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako
August 11, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Maambukizi ya Ukimwi yashuka, kamati ya Bunge wameeleza haya
Top Stories

Maambukizi ya Ukimwi yashuka, kamati ya Bunge wameeleza haya

February 11, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Kamati ya Bunge ya masula ya UKIMWI imebaini kuwa kiwango cha maambukizi ya virusi vya UKIMWI VVU kimeshuka kutoka asilimia 7 mwaka 2003/04 hadi kufikia asilimia 4.7 mwaka 2016/17.

Kiwango cha maambukizi kwa Wanawake ni kikubwa (asilimia 6.3) ikilinganishwa na Wanaume (asilimia 3.4) na kushuka kwa kiwango cha maambukizi ya VVU, Matokeo ya tisini tatu (90, 90, 90) kwa mwaka 2020 ilikadiriwa kuwa Tanzania ina Watu 1,700,000 wanaoishi na Virusi vya UKIMWI.

Imeelezwa kwamba mpaka mwisho wa robo ya Oktoba – Desemba 2020, WAVIU milioni 1.4 sawa na asilimia 83 ya WAVIU wote walikuwa wanatambua hali zao za VVU ambapo WAVIU milioni 1.36 sawa na 98% walikuwa kwenye tiba na matunzo ya ARV na 92% ya waliokuwa kwenye tiba ya ARV walikuwa na kiwango cha chini cha VVU mwilini.

KIRUSI KIPYA CHA UKIMWI KIMEGUNDULIKA , RIPOTI “TAYARI KIMEWAPATA WATU 109”

You Might Also Like

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro

Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako

TAGGED: Ukimwi
Edwin TZA February 11, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kamati ya Bunge yabaini matumizi ya P2 yaongezeka
Next Article CCM wamtembelea Professor Jay Muhimbili, Familia watoa tamko
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’
Top Stories August 11, 2022
Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar
Top Stories August 11, 2022
Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani
Top Stories August 11, 2022
“Marufuku kuingia na silaha Taifa” Kamanda Muliro
Top Stories August 11, 2022

You Might also Like

Top Stories

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

August 11, 2022
Top Stories

Hafla ya makabidhiano ya data za utafutaji wa Mafuta na Gesi asilia kwa vitalu Zanzibar

August 11, 2022
Top Stories

Ukumbini: Bwana Harusi aonesha video ya mkewe akiwa faragha na shemeji yake chumbani

August 11, 2022
Top Stories

Live: Rais Samia akiwasalimia Wananchi wa Makambako

August 11, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?