Staa wa Bongofleva Madee ametoa ya moyoni kwa kueleza maisha yake kabla hajaanza kuimba “Manzese, tulikuwa tunaiba, tunakaba ili mradi maisha yaendelee kwa hiyo ni kweli kabisa nimepitia kwenye hayo mambo”.
Madee atoa ya moyoni “Nimekamatwa kweli kabisa nilikuwa mwizi” (+video)
Leave a comment
Leave a comment