Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
June 3, 2023
Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo
June 3, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.
Top Stories

Madiwani (3) Waandamanaji 87,wakamatwa nchini Afika ya kusini.

March 20, 2023
Share
2 Min Read
SHARE

Huku maandamano yakiwa kwenye kamata kamata na sitisho  nchini Kenya,kukishuhudiwa machafuko makubwa katika baadhi ya maeneo ya Kibera huku baadhi ya waandamanaji wakionekana wakikabiliana na maafisa wa GSU ambao walikuwa wakiwarushia vitoa machozi.

Barabara zote zinazoelekea Ikulu zimekuwa chini  ya ulinzi mkali kuanzia mapema Jumatatu asubuhi huku viongozi na waandamanaji  kadhaa pia walikamatwa kutoka pembe tofauti za mji mkuu katika juhudi za kuzuia machafuko.

Maafisa wa polisi walilazimika kuwarushia vitoa machozi waandamanaji kwa nia ya kuwatawanya.

Ukiachana na huko nchini Afrika Kusini polisi imesema kuwa imewatia nguvuni watu 87 kate nchini kuhusiana na maandamano ya upinzani.

Waziri wa polisi Bheki Cele alisema Jumatatu kuwa wengi miongoni mwa waliokamatwa Jumatatu walikuwa ni kutoka jimbo la Gauteng.

“Wengi walipatikana wakitengeneza vilipuzi vya moto, wakifunga barabara na kujaribu kuwazuia watu kwenda kazini. Hawakuandamana kwa amani ,” alisema.

Aliongeza kuwa  zaidi ya magurudumu 24,000 yalikamatwa na polisi katika miji tofauti.

Alisema kuwa polisi wanashirikiana na wanajeshi kuimarisha hali ya utulivu.

Chama kikuu cha upinzani ambao ni wachache – Economic Freedom Fighters (EFF) kinaongoza kile knachoitwa ‘’kufungwa kwa shughuli za kitaifa’’. Kilianza maandamano Jumapili saa sita usiku.

EFF kinatoa wito wa kujiuzulu kwa Rais Cyril Ramaphosa na kumalizika kwa mzozo wa nishati nchini humo.

Madiwani watatu wa EFF walikuwa miongoni mwa dazeni ya watu waliokamatwa kuhusiana na vitendo vinavyozunguka kufungwa kwa kitaifa.

Msemaji wa polisi Brig Athlenda Mathe alithibitisha madiwani wa wadi za chama hicho walikamatwa Gauteng, Free State na Mpumalanga.

You Might Also Like

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

TAGGED: TZA HABARI
Geena TZA March 20, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Jela kwa mauaji,kuchomoa moyo na kuupika kulisha familia yake “Ninawaondolea mapepo” .
Next Article Video: Tazama Polisi wazuia Maandamano nchini Kenya
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa Magazetini Kenya leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo June 4, 2023
Magazeti June 4, 2023
Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia
Top Stories June 3, 2023
Mapokezi ya ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 767 -300F
Top Stories June 3, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka Airport DSM, Ndege ya kwanza ya mizigo ‘Boeing 767-300F ilivyotua, Rais ashuhudia

June 3, 2023
Top Stories

Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuapishwa kuliongoza taifa hilo

June 3, 2023
Top Stories

Watu 288 sasa wamethibitishwa kufarikiwengine 900 kujeruhiwa katika ajali ya treni India

June 3, 2023
Top Stories

Ukraine iko tayari kuzindua mashambulizi-Volodymyr Zelensky

June 3, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?