Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mafuvu 1000 kurudishwa Tanzania, Congo na Kenya
Share
Notification Show More
Latest News
Mwanajeshi wa zamani wa Liberia awekwa kizuizini kabla ya kesi nchini Ufaransa
September 27, 2023
Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027
September 27, 2023
Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
September 27, 2023
Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi
September 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mafuvu 1000 kurudishwa Tanzania, Congo na Kenya
Top Stories

Mafuvu 1000 kurudishwa Tanzania, Congo na Kenya

January 19, 2023
Share
1 Min Read
SHARE
Mamlaka ya Makumbusho ya mjini Berlin imesema iko tayari kuyarudisha mamia ya mafuvu ya vichwa kutoka nchi za Afrika Mashariki zilizokuwa chini ya ukoloni wa Ujerumani hii ni baada ya kufanya utafiti kwa miaka kadhaa na kutambua asili yake.

DW Kiswahili inaripoti kuwa utafiti huo ulifanyiwa mafuvu zaidi ya elfu moja ambapo 904 kati ya hayo huenda yakapelekwa Rwanda, 202 Tanzania na 22 nchini Kenya ambapo Watafiti hawakuweza kutambua asili ya mafuvu mengine saba.

Kulingana na Wakfu wa Urithi wa Kitamaduni wa Prussia, idadi kubwa ya mafuvu hayo yalitolewa makaburini ila baadhi yalitoka sehemu zilizokuwa zikitumiwa kufanya mauaji na baadhi yalitokana na mauaji yaliyofanywa na Wajerumani kipindi cha ukoloni.

You Might Also Like

Mwanajeshi wa zamani wa Liberia awekwa kizuizini kabla ya kesi nchini Ufaransa

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili

Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

Iringa :ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 7

Edwin TZA January 19, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Wadau sekta ya usafirishaji kukutanishwa pamoja, “Tutajadili changamoto mbele ya Waziri Mbarawa”
Next Article Usain Bolt atapeliwa Bilioni 29, fahamu mapya yaliyoibuka
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Mwanajeshi wa zamani wa Liberia awekwa kizuizini kabla ya kesi nchini Ufaransa
Top Stories September 27, 2023
Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027
Sports September 27, 2023
Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili
Top Stories September 27, 2023
Mazungumzo ya Poland na Ukraine yanaendelea baada ya kupiga marufuku uagizaji wa nafaka
Top Stories September 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Mwanajeshi wa zamani wa Liberia awekwa kizuizini kabla ya kesi nchini Ufaransa

September 27, 2023
Sports

Kenya, Uganda na Tanzania kuandaa AFCON 2027

September 27, 2023
Top Stories

Bosi wa kampuni ya Sabuni aamua kula bidhaa yake kuthibitisha kuwa ni za asili

September 27, 2023
Top Stories

Urusi inashutumu Marekani na Uingereza kwa kusaidia kupanga mashambulizi kwenye meli za Bahari Nyeusi

September 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?