Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mengine ya bastola ya Gwajima.. Wafuasi wa CUF wapigwa.. TZ na ishu ya ugunduzi gesi… #PBCloudsFM
Share
Notification Show More
Latest News
Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
March 27, 2023
Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro
March 27, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Magazeti > Mengine ya bastola ya Gwajima.. Wafuasi wa CUF wapigwa.. TZ na ishu ya ugunduzi gesi… #PBCloudsFM
Magazeti

Mengine ya bastola ya Gwajima.. Wafuasi wa CUF wapigwa.. TZ na ishu ya ugunduzi gesi… #PBCloudsFM

March 31, 2015
Share
1 Min Read
SHARE

5438674967_d3078c2691_bPOWERBREAKFAST ya Clouds FM imefanya uchambuzi wa story kubwa zote za kwenye kurasa za Magazeti Tz, kama ulikuwa mbali na radio yako basi hapa unaweza kusoma na kusikiliza stori zote zilizosikika hewani leo March 31.

Askofu Gwajima amesema aliagiza bastola kwa ajili ya kujilinda, wasichana 3 wamekamatwa kwa kuhusishwa na ugaidi Kenya yumo Mtanzania, wadau wanaotumia mitandao nchini wamepinga madai yaliyoidhinishwa kuhusu muswada wa sheria ya makosa ya mtandao, wafuasi 25 wa CUF wavamiwa na kupigwa na watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa CCM, Serikali imetangaza ugunduzi mpya wa gesi asilia huko Lindi, watu watano wanusurika kifo baada ya ukuta wa jengo walilokuwa wakijenga kudondoka Mwanza, nauli mpya za usafiri wa umma kujulikana mwishoni mwa wiki hii, Zanzibar yakumbwa na uhaba wa Petroli na kuleta usumbufu kwa wananchi.

Kulikuwa na mahojiano  na wafanyabiashara mbalimbali pamoja na Mkurugenzi wa jumuiya ya wafanyabiashara Steven Chamle ambao wamezungumzia mgomo wa wafanyabiashara unaoendelea TZ.

104.1 Clouds FM inasikika ukiwa Bukoba.

Bonyeza play hapa chini kusikiliza story zote…

Hakuna Stori itakayokupita mtu wangu,niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi kwa kubonyeza >>> twitter Insta Facebook

You Might Also Like

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 27, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 26, 2023

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 26, 2023

Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 25, 2023

TAGGED: Magazeti PB
Millard Ayo March 31, 2015
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Kutana na yote makubwa ya Magazeti ya Tanzania leo March 31 2015, page ya kwanza na ya mwisho
Next Article Maamuzi mapya ya Australia baada ya kujulikana Rubani aliiangusha ndege ya Ujerumani kwa makusudi
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana
Top Stories March 27, 2023
Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.
Top Stories March 27, 2023
Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya
Top Stories March 27, 2023
Aliyemzushia DAS taarifa za uongo Jela kifungo Mwaka mmoja
Top Stories March 27, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Makamu wa Rais wa Marekani Kamala Harris awasili nchini Ghana

March 27, 2023
Top Stories

Kenya:Mmoja auawa kwa kupigwa risasi kwenye vurugu za maandamano kisumu.

March 27, 2023
Top Stories

Katibu Tawala msaidizi Mkoa wa Morogoro awaagiza hili watumishi wa Halmashauri za Wilaya

March 27, 2023
Top Stories

Waziri Nape kufungua Mkutano wa Wahariri Mkoani Morogoro

March 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?