Magoli ya Juan Mata na Lambert kwenye mchezo wa jana yatazame hapa
May 12, 2014
Share
0 Min Read
SHARE
Manchester United na Southampton jana walicheza mechi ya mwisho ya ligi kuu ya England kwenye dimba la St. Mary. Matokeo ya mchezo huo yalikuwa sare 1-1. Juan Mata aliifungia United na Ricky Lambert aliifungia Southampton.