Leo November 12, 2019 Rais Magufuli amefichua kitendo alichofanyiwa baada ya kusifiwa na Mstaafu Mkapa “Tulipofanya kazi vizuri kwenye kujenga Barabara Mzee Mkapa alifurahi sana akatamka kwamba mimi ni Askari wake wa mwavuli namba moja ameligusia hili kwenye ukurasa wa 17, licha ya nia yake njema iliniletea shida mimi binafsi, Mawaziri tena wa ngazi za juu wakaanza kunichukia”.
“Baada ya chuki zilizosababishwa na Mzee Mkapa kunisifia, nilipewa sumu Dodoma almanusura nifariki Dunia lakini nikanusurika, nikamueleza Mzee Mkapa dhamira yangu ya kutaka kujiuzulu, aliniangalia kwa jicho la Baba na Mwana na kunihurumia sana” – JPM
TAZAMA RAIS MAGUFULI AKICHEKELEA KEKI YA HAPPY BIRTHDAY YA MKAPA
https://youtu.be/W97OnritPjY