Feb 4 2016 Rais John Pombe Magufuli alifanya uzinduzi wa mwaka mpya wa Mahakama katika siku ya sheria Duniani, tukio lilifanyika Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia katika Sherehe za Mwaka mpya wa Mahakama(Siku ya Sheria)
Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na line ya tiGO andika ‘AYO’ tuma kwenda 15510, msg utayotumiwa jibu OK ili uanze kupokea matukio yote kwapia ungana na Millard Ayo kwenye Twitter, FB, Instagram na YouTUBE wa kubonyezahapa>>>INSTAGRAM TWITTER FB YOUTUBE.