Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mahakama imemuhukumu kunyongwa hadi kufa, kukutwa na hatiani kosa la kumuua mkewe
Share
Notification Show More
Latest News
Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
January 28, 2023
Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu
January 28, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mahakama imemuhukumu kunyongwa hadi kufa, kukutwa na hatiani kosa la kumuua mkewe
Top Stories

Mahakama imemuhukumu kunyongwa hadi kufa, kukutwa na hatiani kosa la kumuua mkewe

January 17, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuhukumu kunyongwa hadi kufa, Mtanzania Dibron Said baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kumuua mkewe Herieth Justine kwa kumchoma na kisu begani, kifuani na tumboni baada ya kumfumania na mwanaume mwingine.

Akitoa hukumu hiyo leo Hakimu Mkazi Mkuu,Evodia Kyaruzi alisema mahakama imejiridhisha na ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka wa mashahidi sita pamoja na ripoti ya kitabibu ya kifo cha marehemu, hivyo mahakama inamtia hatiani kwa kosa la kuua kwa kukusudia.

Kyaruzi alisema kutokana na ushahidi uliotolewa na mjomba wa marehemu,Castoly Salum jinsi alivyoshuhudia mshtakiwa huyo akimchoma kisu mkewe hadi umauti unamkuta pamoja na ripoti ya hospitali hivyo Mahakama hiyo inamuhukumu kunyongwa hadi kufa.

Katika kesi ya msingi, Said anadaiwa kutenda kosa lake Machi 11, 2018 katika eneo la Vingunguti ambapo anadaiwa kumuua kwa makusudi Herieth Justine, baada ya kumfumania akiwa na mwanaume mwingine.

Hata hivyo, inaelezwa kwamba mshtakiwa huyo baada ya kutekeleza mauaji hayo, alienda kituo cha Polisi Vingunguti na kabla hajaingia ndani alijichoma kisu tumboni hadi utumbo ukatokezea kwa nje akiwa na nia ya kujiua baada ya kumfumania mke akiwa na mwanaume mwingine ndani ya nyumba yake.

You Might Also Like

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

Edwin TZA January 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Meja Kunta ametuletea hii single yake mpya ‘Ruqaiya’ isikilize hapa
Next Article Ajabu Pete ya Uchumba yagoma kutoka kidoleni kwa binti, “Mume ni Mpemba”
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Basata wafika kwenye msiba wa H Mbizo Morogoro, ‘Mazishi ni Dar’
Entertainment January 28, 2023
The After Party ya Marioo kufanyika Elements Bar Masaki DSM Usiku wa leo
Entertainment January 28, 2023
Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro
Top Stories January 28, 2023
Uamuzi wa Baraza la Mashekhe Mkoa kuhusu Ndoa ya Dr Mwaka na Queen Masanja
Top Stories January 28, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Katibu Mkuu wa CCM amewasili Wilayani Gairo Mkoani Morogoro

January 28, 2023
Top Stories

Ukatili wa Wanafunzi shuleni, “Maafisa Elimu wapewa rungu”, washughulikieni Walimu

January 28, 2023
Top Stories

Tazama Shaka alivyokula kiapo cha kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kilosa “Sitotoa siri”

January 27, 2023
Top Stories

Mapya ndoa ya Dr Mwaka haijavunjwa, tamko kali latolewa na baraza la Ulamaa

January 27, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?