Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mahakama ya kimataifa ‘ICC’ imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais Putin
Share
Notification Show More
Latest News
Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mahakama ya kimataifa ‘ICC’ imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais Putin
Top Stories

Mahakama ya kimataifa ‘ICC’ imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais Putin

March 17, 2023
Share
1 Min Read
SHARE
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin ikidai kuwa anahusika na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha Watoto kutoka Ukraine na kuwapeleka Urusi kinyume cha Sheria.

ICC imesema uhalifu huo ulifanyika Ukraine kuanzia February 24, 2022 wakati Urusi ilipoicamia Ukraine rasmi licha ya kwamba mara kadhaa Urusi imekanusha madai ya uhalifu wa kivita wakati wa uvamizi huo.

Kamishna wa Haki za Watoto wa Urusi, Maria Alekseevna Lvova-Belova, pia ni miongoni mwa wanaotakiwa kukamatwa kwa amri ya Mahakama ya ICC.

Licha ya kibali hicho cha kumkamata Putin na Bi Lvova-Belova kutolewa, ICC haina Mamlaka ya kuwakamata Putin na wenzake, na inaweza tu kutumia Mamlaka ndani ya nchi ambazo zimesaini makubaliano yaliyounda Mahakama hiyo, Urusi sio Mwanachama wa makubaliano hayo kwahivyo hakuna uwezekano wa Kiongozi huyo kuwasilishwa mbele ya Mahakama hiyo hata hivyo inaweza kuwanyima uhuru wa kusafiri.

You Might Also Like

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Edwin TZA March 17, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Mlipuko wa polio watangazwa nchini Burundi kulingana na ripoti ya WHO
Next Article Sheria Ngowi kutengeneza jezi za Zanzibar Heroes kwa miaka mitano
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’
Top Stories April 1, 2023
Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’
Top Stories April 1, 2023
Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’
Top Stories April 1, 2023
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Kamati Kuu ya CCM yachukizwa na hili, ‘Watumishi wa Umma wasiokuwa waadilifu wachukuliwe hatua’

April 1, 2023
Top Stories

Waziri Mkuu afunguka, ‘Dar, Kilimanjaro yaongoza kwa Viribatumbo’

April 1, 2023
Top Stories

Mfugaji aishukuru kampuni ya Asas, ‘Nasomesha wanangu, Asas ni msaada mkubwa kwetu’

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?