Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg
Share
Notification Show More
Latest News
Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
April 1, 2023
Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya
April 1, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg
Top Stories

Maji ya ajabu yanayotoka bombani Johannesburg

January 31, 2023
Share
1 Min Read
SHARE

Maafisa katika mji wa kibiashara wa Afrika Kusini , Johannesburg,wameanza uchunguzi baada ya mkazi kubaini maji yenye rangi ya bluu yakitiririka kwenye bombo lake.

Mkazi huyo alikuwa amesambaza picha Jumatatu pamoja na video za uzoefu wake huo wa kutisha kwenye mitandao ya kijamii.

Msemaji wa kampuni ya usambazaji maji , Johannesburg Water, ilisema kuwa inashuku maji hayo yalikuwa yamechafuliwa na shaba iliyopo katika jengo hilo, lakini sampuli zimechukuliwa kwa ajili ya kufanyiwa kipimo, kulingana na taarifa za nchini humo.

Matokeo yanatarajiwa kutolewa katika kipindi cha saa 24 baada ya sampuli hizo kufanyiwa uchunguzi, Puleng Mopeli alinukuliwa akisema.

Mkazi aliyeathirwa ameuambia mtandao wa habar wa IOL news kwamba maji ya bluu hatimaye yaliacha kutoka.

There’s some coming out now again and they’re still blue, just lighter in colour … angisazi.@CityofJoburgZA @JHBWater can anyone at least let us know what this blue colour is in the water? Is it normal or safe? We are still water shedding in our area btw 🙃 pic.twitter.com/UrcTELA8T5

— Ntombi M (@_ntombim_) January 30, 2023

You Might Also Like

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

TAGGED: TZA HABARI
Pascal Mwakyoma TZA January 31, 2023
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Biden akataa kutuma ndege za kivita Ukraine
Next Article Waliokutwa na meno ya tembo wahukumiwa miaka 20 jela (+video)
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi
Top Stories April 1, 2023
Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’
Top Stories April 1, 2023
Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM
Top Stories April 1, 2023
Picha: Mwenyekiti wa CCM Dkt Samia aongoza kikao maalum cha kamati kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
Top Stories April 1, 2023

You Might also Like

Top Stories

Video: RC Shigella atoa tamkoa kufuatia Wananchi kuchoma kituo cha Polisi

April 1, 2023
Top Stories

Machinga wa Tegeta wafunguka ‘Usafi ni tatizo sokoni, tumepokea vifaa vya Milioni 5’

April 1, 2023
Top Stories

Picha: Maafisa habari washuhudia maboresho ya Miundombinu, mifumo katika bandari ya DSM

April 1, 2023
Top Stories

Jeshi la Zimamoto na uokoaji lapokea magari mapya matatu ya kuzima moto, Waziri Bashungwa anena haya

April 1, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?