Kutokea makaburi ya Kondo Mbezi Beach Dar es Salaam wanafamilia waliopoteza maisha kwa madai ya kuuliwa na House Boy wamezikwa. Waliofariki ni Emilly Mutaboyerwa (Mama), Daniel Mutaboyerwa (15) na Damita Mutaboyerwa (13) ambapo tukio lilitendeka June 9, 2021.
Majonzi:Familia inayodaiwa kuuliwa na House Boy imezikwa leo DSM
Leave a comment
Leave a comment