Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: TOP 10: Wanamichezo wanaoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi duniani
Share
Notification Show More
Latest News
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
March 26, 2023
Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”
March 26, 2023
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Sports > TOP 10: Wanamichezo wanaoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi duniani
Sports

TOP 10: Wanamichezo wanaoingiza fedha nyingi kwa haraka zaidi duniani

March 14, 2017
Share
2 Min Read
SHARE

Mchezo wa soka ni miongoni mwa michezo inayopendwa zaidi duniani huku wachezaji wakivuna kipato kikubwa kutokana na uhodari wao kuhakikisha wanatumikia klabu zao vizuri.

Nahodha wa Ureno na nyota wa club ya Real Madrid Cristian Ronaldo ametajwa kuwa ndiye mwanamichezo anayeingiza kipato kikubwa kwa haraka zaidi duniani akimzidi mpinzani wake katika soka Lionel Messi wa FC Barcelona.

Katika utafiti uliotolewa na Expert Market UK Cristiano Ronaldo anahitaji saa 45 au jumla ya siku za kazi 5.68 kuvuna pound milioni moja huku Lionel Messi akihitaji siku 5.96 kuingiza kiasi hicho.

Expert Market UK inawataja pia katika list hiyo madereva wa Formula One Lewis Hamilton na Sebastian Vettel, nyota wa American football Eli Manning na boxer Floyd ‘Money’ Mayweather.

Wengine ni nyota wa baseball Ryan Howard na nyota wa Real Madrid Gareth Bale anayetimiza idadi ya wachezaji wa soka watatu kwenye Top 10.

Nimekusogezea hapa list ya wanamichezo 10 wanaoingiza fedha nyingi kwa muda mfupi

Nafasi Jina Mchezo Muda/siku za kuingiza paundi 1 million
1 Cristiano Ronaldo Football 5.68
2 Lionel Messi Football 5.96
3 Joe Flacco American football 7.23
4 Lewis Hamilton Formula 1 7.57
5 Sebastian Vettel Formula 1 7.96
6 Eli Manning American football 8.60
7 Floyd Mayweather Boxing 9.93
8 Ryan Howard Baseball 12.72
9 Gareth Bale Football 12.77
10 Lebron James Basketball 13.71

VIDEO: Ulikosa kuyaona magoli ya Yanga vs Zanaco FC? Bonyeza play chini hapa kuyatazama.

You Might Also Like

Kocha Mkuu wa Taifa Stars awaita kikosini wachezaji hawa wawili wa Simba SC

Full Video: Tazama Mandonga alivyompiga Kenneth ‘Raia wa Uganda’ na kuibuka Mshindi wa Pambano hilo

Picha: Hawa ndio ‘Perfect Kanzu’, mastaa na Watu maarufu ununua hapa Kanzu zao Dar es Salaam

Kapombe na Tshabalala waongezwa Taifa Stars

Kocha Micho wa Uganda ajitetea kipigo cha Taifa Stars “Timu ya Mpito”

TAGGED: soka ulaya, Top 10
Millard Ayo March 14, 2017
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article VIDEO: Kingine kizuri kutoka Tecno Mobile
Next Article Mambo 15 ameyaongea Diamond Platnumz leo Clouds360 ya CloudsTV
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo March 27, 2023
Magazeti March 27, 2023
Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM
Top Stories March 26, 2023
Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’
Top Stories March 26, 2023
Picha: Mfugaji akamilisha Mjengo wake, aishukuru Kampuni ya Asas kwa kufanikisha ndoto zake
Top Stories March 26, 2023

You Might also Like

Top Stories

Picha: Kutoka kwenye Usiku wa Malkia wa nguvu Mlimani City Hall DSM

March 26, 2023
Top Stories

Hhayuma afunguka uwepo wa Baraza la ardhi Hanang, ‘Nilitaka kushika Shilingi ya Waziri Bungeni’

March 26, 2023
Top Stories

Waziri Jafo acharuka, atoa maagizo Mbweni “Wachimba Mchanga, kamata gari, hatua zichukuliwe”

March 26, 2023
Top Stories

Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Mwanza limefanya misa Takaridu ya Kumuombea Hayati JPM

March 26, 2023
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?