Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linamshikilia mwanamke aliyefahamika kwa jina la Hellena mkazi wa Kwimba kwa kumnyonga mtoto wake mwenye umri wa miezi Tisa hadi kufa na kisha kumtupa ili aolewe na mwanaume mwingine.
Mama amuua Mwanae ili aolewe, kichwa cha binadamu chakutwa chini ardhi (+video)
Leave a comment
Leave a comment