Millard AyoMillard Ayo
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
  • Contact
Search
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Reading: Mama asimulia ‘Chagulaga’ alivyotaka kumbaka rafiki yake, DC atoa maagizo mazito
Share
Notification Show More
Latest News
Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
August 14, 2022
Maneno ya Manara kuelekea Mchezo wa Yanga na Simba leo, “Nendeni mkapiganie Jezi na jina la Club’
August 13, 2022
Aa
Millard AyoMillard Ayo
Aa
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Search
  • Top Stories
  • Entertainment
  • Sports
  • Magazeti
Follow US
  • Contact
  • Blog
  • Complaint
  • Advertise
© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.
Millard Ayo > Blog > Top Stories > Mama asimulia ‘Chagulaga’ alivyotaka kumbaka rafiki yake, DC atoa maagizo mazito
Top Stories

Mama asimulia ‘Chagulaga’ alivyotaka kumbaka rafiki yake, DC atoa maagizo mazito

July 6, 2022
Share
1 Min Read
SHARE

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Ngollo Malenya amepiga marufuku tabia ya baadhi ya Vijana wa Jamii ya wafugaji wa kabila la Wasukuma kuwalazimisha Wanawake Kwa nguvu kufanya nao mapenzi na kutaka kuwaoa bila ridhaa yao, DC Ngollo amesema mila hizo maarufu kwa jina la Chagulaga zimepitwa na wakati.

Kauli hiyo ameitoa akiwa katika Kijiji Cha Igumbiro katika mwendelezo wa ziara yake ya kusikiliza kero za Wananchi katika Vijiji vya Wilaya hiyo, jambo hilo liliibuka baada ya Wanawake kutoa malalamiko yao Kwa DC Ngollo akiwa Kijijini hapo na kusema kuna baadhi ya Wanaume wanalazimisha Wanawake kufanya nao mapenzi ama kuwaoa bila ridhaa yao na hufanya hivyo kwa kuwavizia Wanawake wakiwa wanaenda shambani au wakiwa kwenye minada.

Wananchi wanasema Wanaume hao wakikutana na Wanawake humzunguka na kumwambia achague Mtu mmoja afanye nae mapenzi na akikataa analazimishwa “Mwanamke akikataa anapigwa viboko kama kuna Baba yako au Bwana wako akija anapigwa viboko na yeye”

 

You Might Also Like

Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022

Mauaji Moro: Mume amnyonga Mkewe na mtoto, Kaka wa Marehemu afunguka

Basi la New Force latumbukia korongoni, Mmoja afariki, Polisi anena chanzo

Ndugu abiria kulipwa Milioni 150, Wakili aibua mapya ‘Watu binafsi waliopost meme wajiandae’

Ajali Mbaya!! Watu sita wafariki, Polisi wafunguka, chanzo ‘Dereva alikuwa Mwendokasi, lilipinduka’

Edwin TZA July 6, 2022
Share this Article
Facebook TwitterEmail Print
Share
Previous Article Watu watatu wahukumiwa kunyongwa kwa kosa la Mauaji
Next Article Waziri Aweso afanya ukaguzi wa Barabara Tanga ‘Niliwahi kupiga hapa kuomba barabara, hatimae lengo limetimia’
Leave a comment Leave a comment

Leave a Reply Cancel reply

You must be logged in to post a comment.

- Advertisement -

Latest News

Aziz Ki Mfalme mpya town, mchezo dhidi ya Simba SC ya dhihirissha ubora wake, ‘Jemedari amwagia sifa’
Sports August 14, 2022
Baada ya kipigo Ahmed Ally atoa kauli ya faraja kwa Wana Simba ‘Tunapitia maumivu makali mno’
Sports August 14, 2022
Picha:Makamu wa Rais Philip Mpango ashiriki Marathon CRDB Bank 2022
Top Stories August 14, 2022
Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 14, 2022
Magazeti August 14, 2022

You Might also Like

Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 12, 2022

August 12, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 11, 2022

August 11, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 10, 2022

August 10, 2022
Magazeti

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo August 9, 2022

August 9, 2022
Show More
//

To be recognized as Africa’s leading and most trusted online media network providing quality content across all our media platforms by 2025

Sign Up for Our Newsletter

Subscribe to our newsletter to get our newest articles instantly!

Millard AyoMillard Ayo
Follow US

© 2022 MILLARD AYO. Designed by F&A. All Rights Reserved.

Removed from reading list

Undo

Lost your password?